mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Kwa matokeo haya anaweza kupangiwa shule za serikali,mwanafunzi ni mdada
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani shule za serikali zinaonewa! Vibonde ndo wanapelekwaga shule za serikali? Sio kwa hawamu hii ya JPMKwa matokeo haya anaweza kupangiwa shule za serikali,mwanafunzi ni mdadaView attachment 1317008
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kazi iposidhani kama atapangiwa kwa sababu masomo basic ya kila kombi ana F hio history ndio basic kwa art chemistry na physics ana F apo labda mtaftieni vyuo vinavyochukua wenye D mbili
Yule ya kulipia anaenda serikalini watampangia chuo Kama walivyofanya kwa last year
Yule ya kulipia anaenda serikalini watampangia chuo Kama walivyofanya kwa last year
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzoefu wa 2017 na 2018 kama alisome shule ya serikali anakwendaKwa matokeo haya anaweza kupangiwa shule za serikali,mwanafunzi ni mdadaView attachment 1317008
Sent using Jamii Forums mobile app