Styvo254
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 246
- 226
- Thread starter
- #221
Battery kuisha yaashiria short au matumizi ya moto gari likiwa limezima. Lazima iangaliwe ni kitu kipi kinakula moto gari likiwa off.Hbr mkuu Styvo254 ?
Gari yangu ni raum old model! Hivi punde imeanza shida zifuatazo! Mosi, ukiizima mpaka uje uibust kesho yake ! Nimebadilisha betri lakini tatizo bado lipo pale pale!
Pili, imemaliza hydrolic, naomba ushauri nitumie hydrolic gani mkuu?
Tatu, taa ya mafuta imezimika ghafla nimepeleka kwa mafundi lakini wameshindwa kuirejesha!
Naomba ushauri mkuu!
Asante
Hydraulic oil iliyo pendekezwa ni ile ya Toyota au waweza timia ya Total Fluid IID