Hali ya maisha ngumu kwalko,halafu kula ugali familia moja ndio watanzania wote?nyie wamikoani hii haiwahusu kwa ufupi hali ya maisha ngumu
kwani una miaka mingapi?....maana hayo mambo ni kawaida sana labda kama wewe ni wa "kishua" na hujawahi kutembea ndio utaona ajabu.kula kulala hawawezi kuelewa fasihi mpaka uwatafunie kila kitu,hali ni mbaya sikukuu utadhani msiba
Na wewe uache hiyo tabia ya kuchungulia majiko ya watu eti wamepika nini?Chakula ni sehemu ya utamaduni,ndio maana ukienda china unaweza kukuta wanakula konokono,nyoka kenge mamba nk ndio utamaduni wao
tangu nazaliwa miaka kadhaa baada ya yesu kuzaliwa huku kwetu uswahilini Tandika,Mbagala,Manzese ,Mwananyamala Tandale.siku za sikukuu za kidini iwe iddi,pasaka ,au krismasi lazima pilau lipikwe .ndio utamaduni wetu hauzuiwi kula pilau siku ambazo sio za sikukuu ila sikukuu kukosa pilau ni nje ya utamaduni wetu
Kwa mara ya kwanza kuna jirani zangu tena waislamu ambapo leo ndio sikukuu yao ila leo wamekula ugali kwa mara ya kwanza ,watoto wakambana baba akatoa sababu kuwa iddi imekuja ghafla mno walitarajia iwe kesho so watakula pilau keshosie watu wazima tukawa tumeshaelewa anamaanisha nini ,masikini watoto wamekula ugali na kesho huenda wakala tena ugali, kusema ukweli maisha yamekuwa magumu wafanya biashara wa kariakoo nao wanashangaa mauzo ya mwaka huu kipindi cha sikukuu yamevuja rekodi kwa kuwa chini
Kwa hiyo ni bora yule aliyesema hajui kwa nini waTanzania ni maskini??..
Tuwe na subra,mambo yatakaa sawa pilau hizo itakua historia,mambo itakua ni biriani kwa kwenda mbele!
Nini hiyo mkuu ?
Inasikitisha sana !Chakula ni sehemu ya utamaduni,ndio maana ukienda china unaweza kukuta wanakula konokono,nyoka kenge mamba nk ndio utamaduni wao
tangu nazaliwa miaka kadhaa baada ya yesu kuzaliwa huku kwetu uswahilini Tandika,Mbagala,Manzese ,Mwananyamala Tandale.siku za sikukuu za kidini iwe iddi,pasaka ,au krismasi lazima pilau lipikwe .ndio utamaduni wetu hauzuiwi kula pilau siku ambazo sio za sikukuu ila sikukuu kukosa pilau ni nje ya utamaduni wetu
Kwa mara ya kwanza kuna jirani zangu tena waislamu ambapo leo ndio sikukuu yao ila leo wamekula ugali kwa mara ya kwanza ,watoto wakambana baba akatoa sababu kuwa iddi imekuja ghafla mno walitarajia iwe kesho so watakula pilau keshosie watu wazima tukawa tumeshaelewa anamaanisha nini ,masikini watoto wamekula ugali na kesho huenda wakala tena ugali, kusema ukweli maisha yamekuwa magumu wafanya biashara wa kariakoo nao wanashangaa mauzo ya mwaka huu kipindi cha sikukuu yamevuja rekodi kwa kuwa chini
Dah...ndiyo mkome kuzoea vya kunyonga bila jasho. Sasa acheni pereteperete ili mfanye kazi kwa bidii mtaona matunda yakeTulizoea kuletewa chakula chekwa chekwaa na majirani kama zawadi ya Idd, leo loooooo!!!!!, majanga. Hakuna kitu , hali ngumu! Kweli Magu amefunga mirija na njia zote!
Haya mahindi niya kutengenezea lami?
Hahahaha ya ugali nduguHaya mahindi niya kutengenezea lami?
Haya yote ni maisha, uki force sana utafanywa vibaya, iwe kifedha, kimwili na hata kiroho.
Kubali hali tafuta namna ya kutoka, chakula ladha yake inaishia kwenye ulimi