love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,529
- 2,896
Kwanza nianze kwa kukupa pole kaka na kiongozi wangu mh. Mbowe kwa kusota lupango(ukonga)
kwa zaidi ya siku 226.
Nakukabirisha mtaani kwa nderemo na vifijo tele mimi magufulist a.k.a sukuma gang mtoto yatima,
uje tule na kunywa pamoja katika kipindi hiki kilicho baki cha uhai wetu.
Zaidi sana tuendeleze mapambano ya kudai katika mpya na tume huru bila kuchoka ili kkujenga demokrasia yetu,
Pia nina hakika kuwa kama umeweza kukaa gerezani kwa siku 226 bila kuwapigia magoti watesi wako na imani
kubwa na wewe(Mbowe, Mwamba) utatuvusha(mwamba tuvushe) katika kipindi hiki kwani wewe ni Mandela wa wakati wetu.
Yote tisa kumi ile sera yetu chadema ya serikali ya majimbo kwa Tanzania, ina umhimu kuliko
wakati wotewote. Zanzibari imekuwa chato ya awamu ya sita mara elfu kuliko ya Magufuli.
Mengine tutaongea ukiwa umepumzika karibu uraini japo roho na akili yako haikuwahi kuwa ukonga ni mwili tu.
Mwisho kabisa Mandela alisema siku anatoka gerezani kuwa atatumia kipindi cha uhai wake kilichobaki kuwatumikia wananchi wake, Mbowe njoo ututumikie tena.
Waliokuweka gerezani wamekufanya umekuwa imara kuliko wakati wowote wa maisha yako pengine uhai wako.
Nitakuja kukupa salamu zako ukiwa nyumbani Hai.
NB: katika mwanasiasa wa karne yetu ni Mbowe na katika kiongozi wa karne yetu ni Magufuli.
ukishika dola ntakupa jina jipya kama Ibrahim alivyopewa jina jipya.
kwa zaidi ya siku 226.
Nakukabirisha mtaani kwa nderemo na vifijo tele mimi magufulist a.k.a sukuma gang mtoto yatima,
uje tule na kunywa pamoja katika kipindi hiki kilicho baki cha uhai wetu.
Zaidi sana tuendeleze mapambano ya kudai katika mpya na tume huru bila kuchoka ili kkujenga demokrasia yetu,
Pia nina hakika kuwa kama umeweza kukaa gerezani kwa siku 226 bila kuwapigia magoti watesi wako na imani
kubwa na wewe(Mbowe, Mwamba) utatuvusha(mwamba tuvushe) katika kipindi hiki kwani wewe ni Mandela wa wakati wetu.
Yote tisa kumi ile sera yetu chadema ya serikali ya majimbo kwa Tanzania, ina umhimu kuliko
wakati wotewote. Zanzibari imekuwa chato ya awamu ya sita mara elfu kuliko ya Magufuli.
Mengine tutaongea ukiwa umepumzika karibu uraini japo roho na akili yako haikuwahi kuwa ukonga ni mwili tu.
Mwisho kabisa Mandela alisema siku anatoka gerezani kuwa atatumia kipindi cha uhai wake kilichobaki kuwatumikia wananchi wake, Mbowe njoo ututumikie tena.
Waliokuweka gerezani wamekufanya umekuwa imara kuliko wakati wowote wa maisha yako pengine uhai wako.
Nitakuja kukupa salamu zako ukiwa nyumbani Hai.
NB: katika mwanasiasa wa karne yetu ni Mbowe na katika kiongozi wa karne yetu ni Magufuli.
ukishika dola ntakupa jina jipya kama Ibrahim alivyopewa jina jipya.