Kwa mara ya kwanza Tanzania imeweza kuweka betri kwenye moyo wa mtoto

kalulukalunde

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,056
1,083
July 15 2016 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili‘ imeweza kufanya matibabu ya kumuwekea mgonjwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi zake kwa mtoto wa miaka mitano, kifaa hicho kinaitwa pacemaker operation hii ni ya kwanza kwa Tanzania kufanyika kwa mtoto.

Mtoto huyu alikuwa na ugonjwa unaoitwa concenital heart block uliokuwa unasababisha mapigo ya moyo kuwa chini sana na kumsababisha kushindwa kumudu maisha ya kawaida kwa umri wake.

Uongozi wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili’ wamewataka watanzania watambue uwepo wa huduma hiyo katika taasisi na kwamba kwa wale ambao wanashida juu ya mapigo ya moyo, wanaweza kwenda kwenye taasisi na kufuatilia matibabu.

IMG-20160715-WA0061.jpg

IMG-20160715-WA0062.jpg

.

IMG-20160715-WA0061.jpg

.

IMG-20160715-WA0059.jpg

.

IMG-20160715-WA0063.jpg

.

IMG-20160715-WA0064.jpg

.

IMG-20160715-WA0065.jpg

.

IMG-20160715-WA0066.jpg

.

IMG-20160715-WA0060.jpg

.

IMG-20160715-WA0067.jpg

.

IMG-20160715-WA0068.jpg


Maoni yangu

Pongezi kwa madakatari waliofanikisha zoezi hilo na taasisi hiyo kwa ujumla wake, Pongezi poiia kwa Raiais Mstaafu JK kwa kuhakikisha taasisi hii inafanikiwa kwa kuiwezesha kwa kila hitaji katika utawala wako.

Pongezi pia kwa utawala wa awamu ya tano chini ya Dk. Magufuli kwa kuendelea kuingalia taasisi hii kwa jicho la karibu na kuwasaidia wataalam wetu hawa kwa kila hitaji lao.

Hakika hili ni jema na litakaloiletea heshima kubwa taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
 
July 15 2016 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili‘ imeweza kufanya matibabu ya kumuwekea mgonjwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi zake kwa mtoto wa miaka mitano, kifaa hicho kinaitwa pacemaker operation hii ni ya kwanza kwa Tanzania kufanyika kwa mtoto.

Mtoto huyu alikuwa na ugonjwa unaoitwa concenital heart block uliokuwa unasababisha mapigo ya moyo kuwa chini sana na kumsababisha kushindwa kumudu maisha ya kawaida kwa umri wake.

Uongozi wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili’ wamewataka watanzania watambue uwepo wa huduma hiyo katika taasisi na kwamba kwa wale ambao wanashida juu ya mapigo ya moyo, wanaweza kwenda kwenye taasisi na kufuatilia matibabu.

IMG-20160715-WA0061.jpg

IMG-20160715-WA0062.jpg

.

IMG-20160715-WA0061.jpg

.

IMG-20160715-WA0059.jpg

.

IMG-20160715-WA0063.jpg

.

IMG-20160715-WA0064.jpg

.

IMG-20160715-WA0065.jpg

.

IMG-20160715-WA0066.jpg

.

IMG-20160715-WA0060.jpg

.

IMG-20160715-WA0067.jpg

.

IMG-20160715-WA0068.jpg


Maoni yangu

Pongezi kwa madakatari waliofanikisha zoezi hilo na taasisi hiyo kwa ujumla wake, Pongezi poiia kwa Raiais Mstaafu JK kwa kuhakikisha taasisi hii inafanikiwa kwa kuiwezesha kwa kila hitaji katika utawala wako.

Pongezi pia kwa utawala wa awamu ya tano chini ya Dk. Magufuli kwa kuendelea kuingalia taasisi hii kwa jicho la karibu na kuwasaidia wataalam wetu hawa kwa kila hitaji lao.

Hakika hili ni jema na litakaloiletea heshima kubwa taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Mkuu siyo mara ya kwanza. Operations kama hii ilishawahi kufanyika kwenye Taasisi ya Moyo ya Dr. Masau (RIP) mwaka 2007.
 
pongezi kwa madokta..MOLA mjalie mtoto apone upesi na awe na maisha mzuri chini ya MKONO wako wenye nguvu! wape amani wazazi wake!
 
Nawapongeza kwa kweli inatia moyo

Tunaomba wasishushiwe mishahara yao itawavunja moyo kwa kweli. Mungu azidi kumponya mtoto awe na afya njema
 
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo! Naona mamba (watu weupe/wazungu/wahindi) na kenge (weusi) wengi sana wakisaidia kuwapa mikasi na viwembe!!!
 
Hivi kweli hii taasisi haikiuki maadili na kiapo cha taaluma hii ya udaktari ambayo inakataza katakata kujitangaza kwa madhumuni ya kujikuza au kujivutia wagonjwa kama ambavyo wakina Dr Mwaka na Hayati Dr Massau walikuwa wanafanya.

Jee mamlaka husika iwachukulie hatua kali wahusika ikiwamo kukifunga kituo hiki kama sheria inavyo elekeza? Mmhhhhh .. haiwezekani, ila wabadili mkakati. Wawaachie wanasiasa kuitangaza tasisi hi. Hayo mapicha yao ya theatre ni kukiuka maadili. That is not the proper way of giving public health education.
 
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo! Naona mamba (watu weupe/wazungu/wahindi) na kenge (weusi) wengi sana wakisaidia kuwapa mikasi na viwembe!!!

Siyo kila kitu ponjoro.Hata hao "kenge" ni WaTanzania Na tunawashuru Kwa uzalendo wao.Weye piga porojo zako.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom