Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Hivi shisha ni uhalifu? Au ni tafsir yako ya kisukuma tuuWameshindwa kuwatoa machangudoa na wala shisha ambao ni wahalifu wataweza kuwatoa machinga ambao hawamwibii mtu yoyote?
Tatizo viongozi wetu huwa hawajifunzi kutokana na historia ni suala la muda tu ngoja hela ziwaishie.