Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,639
- 11,986
Wacha ujinga mwamba!Wameshindwa kuwatoa machangudoa na wala shisha ambao ni wahalifu wataweza kuwatoa machinga ambao hawamwibii mtu yoyote?
Tatizo viongozi wetu huwa hawajifunzi kutokana na historia ni suala la muda tu ngoja hela ziwaishie.