Kwa Mara ya Kwanza nimeona Mafanikio ya Serikali kwenye suala la Machinga, Hongera Serikali ya Awamu ya Sita

Wameshindwa kuwatoa machangudoa na wala shisha ambao ni wahalifu wataweza kuwatoa machinga ambao hawamwibii mtu yoyote?

Tatizo viongozi wetu huwa hawajifunzi kutokana na historia ni suala la muda tu ngoja hela ziwaishie.
Wacha ujinga mwamba!
 
Mimi Ni mgumu Sana kupongeza.Lakini kwa Hili la Wamachinga, nampongeza Sana Rais wetu Mama SAMIA.Ubarikiwe Mama yetu Rais Samia.BAAADA YA HILI LA WAMACHINGA,Naomba ufanye marekebisho kwenye baadhi ya vipengele vya Katiba ya JMuungano,e.g. Tume huru ya uchaguzi,na baadhi ya vipengele vya Muungano wenyewe.Ruhusu pia Uhuru wa kisiasa.Usikubali uchaguzi wa kusimamiwa na Wakurugenzi wa Majiji na Manispaa.Police wasipendelee chama chochote wakati wa campaigns na wakati wa uchaguzi.Nakuhakikishia ukifanya Haya na Mengine ya nyongeza, kwa kadiri utakavyoona inafaa,Mungu atakubariki,Hiyo 2025,hata upambanishwe na YEYOTE Ndani ya chama chako CCM,Lazima utaibuka mshindi.Pia nje ya chama,Hata upambanishwe na Tindu Lisu,Lazima UTASHINDAA TU,Maana Mungu na Wa-Tanzania wanataka Rais(Kiongozi)Mtenda Haki.Ubarikiwe Rais wangu Mama Samia.
 
Mkuu kuna mijitu mijinga mijinga humu JF, cant think beyond their noses.
JF ni kama kokoro, wamejaa watu wa kila aina kuanzia walioishia darasa la pili B shule ya msingi mpaka wenye phd, welevu na wajinga, wavumilivu na wakurupukaji, wenye exposure na wasio na exposure, wenye milengo ya kisiasa na wasiokuwa na milengo ya kisiasa n,k n.k n.k n.k. Hivyo usiwe na pressure sana humu.
 
Hatutaona aibu kukiri kuwa JPM aliwatendea mema wamachinga, na wenyewe wataendelea kumshukuru na kumkumbuka daima!

Huo muonekano unaoufurahia hauwapi shibe watu maskini watanzania
Kama wewe ni machinga ujue kuna ustaarabu wa jinsi ya kuishi mijini.
Si Tanzania tu, bali duniani pote.
Ukiwa na kiongozi mshamba ambaye hana hata kizazi kimoja kuishi mjini haya ndiyo matokeo yake.
Madhara atayaona mwishoni mwa kizazi chake, then its too late.
 
Swala la machinga nampongeza Rais kwa kutoa maamuzi magumu machinga walishakuwa kero pia vibanda na uchafu ilikuwa aibu kwa majiji makubwa ilifanya tuonekane nchi ka ya vichaa, pia nimpongeze Makele jiji limeanza kuwa safi kuanzia Mwenge, ustawi na kwingine aisee vile vibanda plus mbao ulikuwa uchafu uliokubuhu Hadi nawaza kwanini machinga hawana aibu na hawajali usafi?

Hivi nyumbani kwako unanunua makochi kwanza halafu unawaambia watoto subirini mtakula siku nyingine laleni njaa, nyumbani lazima kupendeze kwanza

Chekelea usafi tu mkianza kubomolewa vioo vya gari sijui utamlaumu mkuu wa mkoa, Raisi, IGP ama wazazi walio wazaa..ni swala la muda tu…

Unamtoa mtu masaki alikuwa anawauzia wazungu tikiti elfu 5 unampeleka ubungo external akauze kwa buku..atakuelewa huyu mtu….

Kwahio mnatangeneza matabaka wenye visu ndio wafanye biashara masaki au?!
 
Hivi nyumbani kwako unanunua makochi kwanza halafu unawaambia watoto subirini mtakula siku nyingine laleni njaa, nyumbani lazima kupendeze kwanza

Chekelea usafi tu mkianza kubomolewa vioo vya gari sijui utamlaumu mkuu wa mkoa, Raisi, IGP ama wazazi walio wazaa..ni swala la muda tu…

Unamtoa mtu masaki alikuwa anawauzia wazungu tikiti elfu 5 unampeleka ubungo external akauze kwa buku..atakuelewa huyu mtu….

Kwahio mnatangeneza matabaka wenye visu ndio wafanye biashara masaki au?!
Unazidi kujionesha kwa Jinsi gani ulivyo mjinga

Mbona anaeuza tikiti ubungo havunji vioo vya gari?

Huo ushamba wenu ndo mlitaka kuigeuza hii nchi jalala! Tembeeni duniani mjifunze ustaarabu na kuishi kwa kufuata taratibu vilaza wakubwa nyie!
 
Amani iwe nanyi wanabodi!

Wakati Mama Samia anatangaza mkakati wake wa kuwapanga upya machinga kwenye maeneo mbalimbali, nilibarikiwa kuwa mmoja wa watu wa mwanzo kabisa kutoa ushauri wangu humu!

Ushauri huu niliutoa kwenye Thread hii hapa chini


Wakati naandika hii thread nilitoa haya Mawazo nikiamini kuwa yakifanyiwa kazi yataleta matokeo!

Baadae Waziri Mkuu wa JMT Ndug Kassim Majaliwa alifanya kikao na Wakuu wa Mikoa na akatoa maagizo ambayo nashukuru Mungu Kwa sehemu fulani yalitoka kwenye thread niliyoiandika hapa JF

Nirudi kwenye mada!
Watu wengi walipoona Rais Samia anatoa yale maagizo walifikiri kuwa kamwe hayatofanikiwa, Kuna wengine walidhani kuwa ndo Kama maagizo ya siku zote ya wanasiasa wa Tanzania ambayo hayazingatiwi, Kuna wengine walidhani as long as ni mwanamke basi ni dhaifu hivyo maagizo yake hayawezi kufanyiwa kazi, Kuna kundi lingine ni kwa chuki zao tu walimkatisha tamaa Mama samia na kuongea maneno ya kejeli kumdhihaki ili kumfanya aone tu hatoweza!

Nimekuwa jijini Dar es Salaam kwa wiki sasa na nimetembea sana Jiji la posta na hata maeneo ya Ubungo na mwenge, napenda kusema kwa sauti kuu na moja
HONGERA MAMA SAMIA, ZOEZI LINAKWENDA VIZURI NA SURA YA MJI WETU WA DAR UNAOJENGWA KWA GHARAMA KUBWA NA SERIKALI IMEANZA RASMI KUONEKANA.

Nilisema humu na ninasema tena, suala la machinga kamwe, haliwezi kuwa mfupa mgumu kwa serikali, kilichokuwa kunasababisha kutokea yale tuliyokuwa tunayaona awamu ya tano kurudi nyuma ni

1. Viongozi kukosa commitment ya kushughulikia mambo ya msingi

2. Siasa ya kijinga, uvivu na uzembe kwa viongozi hasa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Majiji na Halmashauri

3. Ushamba na kukosa exposure

Kwa mwezi sasa tumeona viongozi wakikomaa kushughulikia suala la machinga na sasa imeanza kuonekana kuwa kumbe inawezekana Kwa machinga kupangwa na kufanya biashara kistaarabu

Kwa Mafanikio haya niliyoanza kuyaona sasa napenda kuishauri Serikali ya Awamu ya Sita kuzingatia haya

1. Msibweteke kwa mafanikio mliyoanza kuyapata hasa baada ya machinga wenyewe kukubali kupangwa baada ya serikali kuweka msisitizo! Maeneo Yaliyokuwa wazi sasa yawekewe ulinzi na utaratibu maalum ili kutoruhusu hali ya huko nyuma kujirudia tena

2. Kuwe na by laws za faini na hata kufanya kazi za kijamii kwa watu wanaokiuka taratibu na kurudi kwenye maeneo waliyoondolewa

3. Ziundwe kamati za wafanyabiashara wenyewe kusimamiana wenyewe ili kutoruhusu sheria kuvunjwa tena na hali kurudi Kama ilivyokuwa.
Mf. Kwa kariakoo Wafanyabiashara wa pale waunde kamati zao na vikundi vyao vya kusimamia usafi na ufanyaji biashara kwa kuzingatia taratibu . Kamati hizi sipewe meno na mamlaka ya kuadhibiana wenyewe kwa wenyewe pale taratibu zilizowekwa zinapokiukwa

4. Kwa maeneo wanayopelekwa machinga! Naomba sasa mkazo uwekwe huko, miundombinu Bora na ya kisiasa ijengwe huko. Wafanyabiashara hawa wapangwe na kusimamiwa vizuri chini ya kamati za wao wenyewe watakaoziunda. Wapangwe kisasa na kistaarabu kwa kuzingatia aina ya biashara wanayofanya

Wafanyabiashara hawa wawekewe utaratibu mzuri wa kulipa kodi kidogo kidogo na jamii ielekezwe kwenye kununua bidhaa kwenye maeneo hayo walikopangiwa wafanyabiashara hao. Vijengwe vituo vya mabasi kwenye maeneo hayo ili ununuzi wa bidhaa uwe rahisi


Naomba niishie hapa Kwa leo
Ni kwel mkuu namponeza sana SSH but hofu yangu kunauwezekano mkubwa huko baadae hapa Dar kutatokea wimbi la Wizi kila siku watu wanaibiwa maana baadhi ya machinga wamepiteza mali zao/mitaj yao vibanda vimevunjwa wamepoteza Asset zao..
Ni sulla la muda tuh but naomba isitokee hivyo
 
Unazidi kujionesha kwa Jinsi gani ulivyo mjinga

Mbona anaeuza tikiti ubungo havunji vioo vya gari?

Huo ushamba wenu ndo mlitaka kuigeuza hii nchi jalala! Tembeeni duniani mjifunze ustaarabu na kuishi kwa kufuata taratibu vilaza wakubwa nyie!

Ushasema anaeuza ubungo…

Mimi au wewe na wenzako ndio washamba malimbukeni wa ulaya, eti exposure…Nyie ndio mnaompotosha Raisi mnaiga mambo ya ulaya kwenye third world countries sio kila kitu cha kuiga..hizo exposure zenu zitawacost..ni swala la muda tu..
 
Ushasema anaeuza ubungo…

Mimi au wewe na wenzako ndio washamba malimbukeni wa ulaya, eti exposure…Nyie ndio mnaompotosha Raisi mnaiga mambo ya ulaya kwenye third world countries sio kila kitu cha kuiga..hizo exposure zenu zitawacost..ni swala la muda tu..
Wapeleke hao machinga lango la Ikulu na lango la Bunge na BOT, wateja wengi pale, pesa yote inapangiwa milango hiyo.
 
Ushasema anaeuza ubungo…

Mimi au wewe na wenzako ndio washamba malimbukeni wa ulaya, eti exposure…Nyie ndio mnaompotosha Raisi mnaiga mambo ya ulaya kwenye third world countries sio kila kitu cha kuiga..hizo exposure zenu zitawacost..ni swala la muda tu..
Samahani umeishia darasa la ngapi?

Kwa iyo kwa akili yako anayefanya biashara masaki akipelekwa kariakoo au Ubungo anatakiwa akaibe? Nani kakufundisha Hilo jambo? Au umeshawai liona wapi?

Kwa akili yako unaaamini kufanya biashara kwa uchafu, bila kulipa kodi na kuharibu miundombinu ndo maana ya third world countries?

Samahani sana! Nadhani unastahili kuitwa wasted sperm!
 
Samahani umeishia darasa la ngapi?

Kwa iyo kwa akili yako anayefanya biashara masaki akipelekwa kariakoo au Ubungo anatakiwa akaibe? Nani kakufundisha Hilo jambo? Au umeshawai liona wapi?

Kwa akili yako unaaamini kufanya biashara kwa uchafu, bila kulipa kodi na kuharibu miundombinu ndo maana ya third world countries?

Samahani sana! Nadhani unastahili kuitwa wasted sperm!

La nne… wewe?!

Wee kula kiyoyozi tu…huku ukihesabu arobaini yako…utajua hujui km vyeti vyako havina maana
 
Samahani umeishia darasa la ngapi?

Kwa iyo kwa akili yako anayefanya biashara masaki akipelekwa kariakoo au Ubungo anatakiwa akaibe? Nani kakufundisha Hilo jambo? Au umeshawai liona wapi?

Kwa akili yako unaaamini kufanya biashara kwa uchafu, bila kulipa kodi na kuharibu miundombinu ndo maana ya third world countries?

Samahani sana! Nadhani unastahili kuitwa wasted sperm!
Huyo anayefanya masaki unadhani huko Ubungo hakukuona!? Kila mtu anafanya biashara kuendana na eneo alilopo. Si ajabu mamalishe mliowarundika pale kisutu wengi tayari mitaji imekata na wengine wamekimbia pale. Wapi uliwahi ona mamalishe wote wanakusanywa sehemu moja!? Ili wamuuzie nani!?

Hivyo vijishule vyenu vinawafanya mjione kuwa mnajua kila kitu. Upuuzi.
 
Ni kwel mkuu namponeza sana SSH but hofu yangu kunauwezekano mkubwa huko baadae hapa Dar kutatokea wimbi la Wizi kila siku watu wanaibiwa maana baadhi ya machinga wamepiteza mali zao/mitaj yao vibanda vimevunjwa wamepoteza Asset zao..
Ni sulla la muda tuh but naomba isitokee hivyo
Ukiniambia bodaboda na bajaji zimepigwa marufuku kufanya kazi nitakuelewa maana ni kundi kubwa mno ambalo likiachishwa hizo kazi bila alternative basi jamii lazima itikisike. Waliokuwa vibaka, wezi, wadokozi, na hata majambazi wengi wamemezwa na kazi ya bodaboda na bajaji. Hawa wafanyabiashara ndogo ndogo (mnawaita Machinga) hawajaambiwa wasifanye kazi bali wamehamishwa tu kupelekwa maeneo muafaka kwa kazi yao sasa sijui hofu yako ni nini hapo? Au ndio yale mambo ya Fear of the unknown? MAISHA YANAENDELEA KAMA KAWA PONGEZI KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA KWA KUTUONDOLEA UCHAFU WA MABANDA NA MOSHI WA KUNI MJINI.
 
Huyo anayefanya masaki unadhani huko Ubungo hakukuona!? Kila mtu anafanya biashara kuendana na eneo alilopo. Si ajabu mamalishe mliowarundika pale kisutu wengi tayari mitaji imekata na wengine wamekimbia pale. Wapi uliwahi ona mamalishe wote wanakusanywa sehemu moja!? Ili wamuuzie nani!?

Hivyo vijishule vyenu vinawafanya mjione kuwa mnajua kila kitu. Upuuzi.
Kumbe unaongelea nadharia na sio uhalisia?

Kwa akili yako mtu kuwa kisutu unadhani anauza kisutu tu? Kwani hawezi kupikia chakula kisutu na kukipack kwenda kuwauzia wateja wake sehemu nyingine?

Nimekwenda Ofisi nyingi hapa Tanzania nimeona mama lishe wanawauzia watumishi chakula ambacho kinapikwa mbali na ofisi zao na usafi upo maintained.

Shule niliyokwenda na exposure niliyonayo inaniwezesha kuwa na upeo mkubwa wa kufikiri kuliko kilaza wewe!
 
La nne… wewe?!

Wee kula kiyoyozi tu…huku ukihesabu arobaini yako…utajua hujui km vyeti vyako havina maana
Niko shambani nalima na kupata kipato changu huku!

Wewe endelea kuonesha ujinga wako tu!
 
Back
Top Bottom