Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,587
- 10,721
Bill Lugano huyu muhaya toka kamachumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ushamba, usikariri.Sawaa... Kwahiyo story yako inatufumdisha nini ? Au ndio tusogoee tu
It was like the iPhone 13 heheMambo ya Blackberry Bold 9900....
Funny days man
Lake secondary hii mwanza miaka ya 90's kama sijakoseaNdo hivyo mkuu Kuna madogo ukimhadisia life la ulikotoka anakushangaa,shida anasikiaga tu!! mm Kuna dogo tulisoma nae ss Kuna sku dogo akaamua kuja na semi trailer mpya kabisaa,tunashangaa semi imeleta nn ,kumbe dogo kaja nayo,halafu akashuka akaenda mpaka nyuma ya trailer akapanda na kutoa begi ya madaftari .kumbe dogo alifanya makusudi kisa Kuna siku alinyimwa lift na tcha .
We nawe Usijikute mjuaji wakati huna jambo.. ....Ndio maana nikauliza story yake inafundisha nini au ndio tusogoe tu . Sijaona hiyo inspiration Wala motivationacha ushamba, usikariri.
sio kila unachokisoma jf kimeandikwa ili wewe ujifunze.
mengine ni kwa ajiri ya inspiration and motivation.
Chawa Gegedu huyuMpambe nuksi
Shortcut ni nyingi we penyeza hela tu utaona jinsi mambo yalivyo mepesi. Kwa maisha ya duniani humu mpunga ndio kitu cha kwanza cha maana. Mungu atusaidie tu nasisi watoto wetu waje kuishi kishua.Halafu eti mnasema maisha hayana shortcut?
Kuzaliwa familia yenye mpunga kama huyo dogo hiyo tayali ni shortcut.
Masikini tuache kujifariji.
Mjukuu wa Bakhresa tayali keshapita shortcut.
Sawaa... Kwahiyo story yako inatufumdisha nini ? Au ndio tusogoee tu
acha ushamba, usikariri.
sio kila unachokisoma jf kimeandikwa ili wewe ujifunze.
mengine ni kwa ajiri ya inspiration and motivation.
Mkuu sio lazima uandikiwe moral of the story / inafundisha nini, vitu vingine ukitumia tu kichwa chako mbona vinaonekana wazi tu.We nawe Usijikute mjuaji wakati huna jambo.. ....Ndio maana nikauliza story yake inafundisha nini au ndio tusogoe tu . Sijaona hiyo inspiration Wala motivation
Wewe ungejibu tu hapa tunapiga porojo ningekuelewa.
Huyu balabuu sijui yupo wapi kwa sasa na sheli zake za tiotMichezo ya Foresh hill Sec School miaka ya 2006 kurudi nyuma, waliopita kule ..kulikuwa na packing za Ndiga,Bike na Baiskeli.😀😀😀😀
Kuna vijana wa Balaboo ..Omar Awadhi..hahaha wanatembea na wapambe 😀😀😀😀
Sawaa makofi kwako tafadhali 👏👏👏 Nilikua naku-challenge kidogo 😀Mkuu sio lazima uandikiwe moral of the story / inafundisha nini, vitu vingine ukitumia tu kichwa chako mbona vinaonekana wazi tu.
-tafuta hela watoto waishi fresh
-usiwe na dharau ukiwa na pesa
-usipende kujitapa tapa una pesa
-kuwa makini na wanawake ukiwa na pesa
n.k
Wapiiiii hata Kwa shemeji Yako Bado hujahama,kula kulala kama Mimi na jobless,Braza bana kwahiyo umekuja kunifungulia Uzi haya bana.
Michezo ya Foresh hill Sec School miaka ya 2006 kurudi nyuma, waliopita kule ..kulikuwa na packing za Ndiga,Bike na Baiskeli.
Kuna vijana wa Balaboo ..Omar Awadhi..hahaha wanatembea na wapambe
Wapiiiii hata Kwa shemeji Yako Bado hujahama,kula kulala kama Mimi na jobless,
Hama hapo haraka utazeeka hujui TU!
(Joking bro)
Huyo dem wake alikuzidi kete Za kumchuna dogo ndomaana ukaanza kumchukia