kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,716
- 13,185
mimi ni muuza karanga tu mtaalamu..Kongole Mwana njiwa mwenzetu..
Enzi za mwisho za mkapaItakuwa enzi za mwinyi ndio kulikuwa na huo uholela
Vipi nyagi bin bapa la bongo alikuwa hagon
Inawezekana mkuu miaka inaenda👊.humo ndani nshacheza sana kiasi hata mtaani watu walikua hawanielewi.Umemaliza. Itakuwa tunafahamiana mkuu babukijana .
Watu wengine unaweza kudhani wana akili kumbe hewa kabisa.
Hapo kwenye Annex nikajua tu hawa ni wale wale wa motivated na Pride na delusion fantasies 😂😂😂😂😂😂......compromised red IDWaliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
peace.. stability and prosperity..
Sawa mkuu.....mimi ni mteja wako hapa pembeni ya jengo dogomimi ni muuza karanga tu mtaalamu..
kesho kuna mzigo mpya wa karanga karibu sana..Sawa mkuu.....mimi ni mteja wako hapa pembeni ya jengo dogo
Mule mule missionHapo kwenye Annex nikajua tu hawa ni wale wale wa motivated na Pride na delusion fantasies 😂😂😂😂😂😂......compromised red ID
Niliingia kama mara tatu hivi kipindi cha BM...Magufuli alikua naibu waziri....Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Ulitaka wajue unacheza sana ikulu au unapiga sana kale kademu kanakoumwa?Inawezekana mkuu miaka inaenda👊.humo ndani nshacheza sana kiasi hata mtaani watu walikua hawanielewi.