Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,309
- 7,131
Hii yote sababu mtazamo wake na wako hauendani?Watu wengine unaweza kudhani wana akili kumbe hewa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii yote sababu mtazamo wake na wako hauendani?Watu wengine unaweza kudhani wana akili kumbe hewa kabisa.
Vipi nyagi bin bapa la bongo alikuwa hagongi?Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
State housewhite house
Itakuwa enzi za mwinyi ndio kulikuwa na huo uholelaNilishawhi piga mbonji mule mwezi mzima upande was nyumba za watumishi wa mule ndani wayback nikiwa primary
Kuna mazingira mazuri .
Nimewaza tuKwani umeambiwa wanagawa pesa kule ?
na amini maelezo yako, kwa kuitaja annex ila huyu mleta mada atakuwa kasimuliwa na ndugu ama marafiki zake, cheer's mwana njiwa.Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Nilifika annex enzi za jkWaliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Inawezekana mawazo ndiyo yanakuaminisha. Huu ndio uhuru wa maoni. Mimi naamini kwa vile Zambia wameweza Tanzania tunaweza sana.Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.
Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.Mama atagombea na atatoboa tu.
Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Mhashimiwa anakaa getini? mmechanganyikiwa?kumbe wewe ndio yule mheshimiwa pale getini.
Watu tumekulia mle na wala hatujawahi kuoamissHabari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.
Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.Mama atagombea na atatoboa tu.
Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Annex ndiyo makazi ya Rais rasmi.Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Umepitia geti dogo au kubwa?Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni, asikwambie mtu ikulu patamu.
Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mimi nawaambia ni uongo, yaani hata ningekuwa mimi nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha. Mama atagombea na atatoboa tu.
Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Really mwana njiwa?na amini maelezo yako, kwa kuitaja annex ila huyu mleta mada atakuwa kasimuliwa na ndugu ama marafiki zake, cheer's mwana njiwa.
peace.. stability and prosperity..Really mwana njiwa?
Kongole Mwana njiwa mwenzetu..na amini maelezo yako, kwa kuitaja annex ila huyu mleta mada atakuwa kasimuliwa na ndugu ama marafiki zake, cheer's mwana njiwa.