Kwa mara ya kwanza mwaka huu nimeingia Ikulu ya Magogoni

Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Vipi nyagi bin bapa la bongo alikuwa hagongi?
 
Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
na amini maelezo yako, kwa kuitaja annex ila huyu mleta mada atakuwa kasimuliwa na ndugu ama marafiki zake, cheer's mwana njiwa.
 
Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Nilifika annex enzi za jk
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.Mama atagombea na atatoboa tu.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Inawezekana mawazo ndiyo yanakuaminisha. Huu ndio uhuru wa maoni. Mimi naamini kwa vile Zambia wameweza Tanzania tunaweza sana.
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni,asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mm nawaambia ni uongo ,yaani hata ningekuwa mm nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha.Mama atagombea na atatoboa tu.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Watu tumekulia mle na wala hatujawahi kuoamiss
 
Waliofaidi hilo jumba BM na JK.
JK nakumbuka alikua waziri kijana enzi za BM.
Sasa akialikwa kuna shughuli mle ndani Wamama mawaziri wengine walikua wanapata tabu sana.
Jamaa nafkiri alitambaa nao wote kwa zamu.
BM yeye alikua hana time na wamama,
Ye ilikua vyombo tu Ballantine ,Whisky JD Twende Na Msosi Mle ndani haukauki Chef Samaki mkubwa kabisa anaeletwa pale feri anapelekwa mle ndani anapikwa mzima mzima.
Na jamaa BM alikua halali nyumba nyeupe.
Kuna Annex kule pembeni,akichoka tu huyooo Annex.
Huku mnabaki na mamma Anna na wadogo zake .
Hapo vyombo sasa ndio vinaliwa mpk kunakucha.
Annex ndiyo makazi ya Rais rasmi.
 
Habari wadau..!
Mwaka huu nimepata bahati ya kutinga moja kwa moja white house mjengoni pale Magogoni, asikwambie mtu ikulu patamu.

Wapo wanaosema 2025 mama hatagombea mimi nawaambia ni uongo, yaani hata ningekuwa mimi nisingekubali kuondoka kirahisi mjengoni kuna raha. Mama atagombea na atatoboa tu.

Wala wanaolilia sijuhi Tume Huru Katiba mpya si swala rahisi kama wanavyofikiria,ikulu patamu sana CHADEMA na vyama vingine wataishia tu kukaribishwa kula biliani la ikulu na kupiga picha na marais wapya kila wanapoapishwa,wafanye kazi sana kuitoa CCM ikulu si swala jepesi.
Umepitia geti dogo au kubwa?
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom