TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 936
Ni jumapili ya tarehe 25.10.2015 ! Kaa mkao wa kusikiliza sauti yake! Kilio chenu cha muda mrefu kimefika kwenye kiti chake cha enzi!
Mungu atamemfungulia njia lowasa ndio maana hata misukule inaungua kila wakisikia jina la lowasa
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu ! Sikutegemea kufanyika mabadiliko kirahisi namna hii katika nchi hii , lakini kwa uwezo wake imewezekana , asante Mungu .