Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Serikali ya awamu ya tano kwa kweli imeamua kupambana na unafiki. Inataka ukiisia mvua basi iwe imekunyeshea.
Lema amekaa gerezani ametoka sasa ametulia. Natarajia hivyo kwa Sugu na Viongozi waliwekwa mahabusu leo. Hawa wote wamekuwa majasiri wakati wa hali nzuri tu.
Wako kimaslahi hawawezi kurisk familia, biashara wala hadhi zao. Hao wakurugenzi wa sekretarieti Benson Kigaila tu ndie jasiri wengine wako kimaslahi. Kwa mtikisiko huu Chama kina safari ndefu maana waoga ndio wenye madaraka.
Mbowe alizoea kuwa behind the scene na kupiga hela now waliokuwa wakitangulia mbele yake kawafukuza au kagombana nao kwasababu ya majungu ya vijana wake waliomzunguka.
Mbowe ametiswa sasa tutajua je ni mwamba imara au mwamba mchanga. Mahabusu ni chuo na shule kwa wapinzani
Lema amekaa gerezani ametoka sasa ametulia. Natarajia hivyo kwa Sugu na Viongozi waliwekwa mahabusu leo. Hawa wote wamekuwa majasiri wakati wa hali nzuri tu.
Wako kimaslahi hawawezi kurisk familia, biashara wala hadhi zao. Hao wakurugenzi wa sekretarieti Benson Kigaila tu ndie jasiri wengine wako kimaslahi. Kwa mtikisiko huu Chama kina safari ndefu maana waoga ndio wenye madaraka.
Mbowe alizoea kuwa behind the scene na kupiga hela now waliokuwa wakitangulia mbele yake kawafukuza au kagombana nao kwasababu ya majungu ya vijana wake waliomzunguka.
Mbowe ametiswa sasa tutajua je ni mwamba imara au mwamba mchanga. Mahabusu ni chuo na shule kwa wapinzani