maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
usikute ata wewe ni chakula cha mtu koo ukiondoka utakua umemuacha dillema baasha wako
😂😂 mie toka niijue jf eti naona wanaume humu wanaongoza kwa :manengelo una nini?eti bora kuzaa mtoto wa kike nimecheka sana.