Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Haisaidii kitu, haitswasafisha Chadema kutoka kwenye hii kashfa
Wamlaumu mgombea wao kutoka ubeligiji anayetia gundu Chadema
Wamlaumu mgombea wao kutoka ubeligiji anayetia gundu Chadema
Faragha kitu muhimu kijana usichungulie vyumbani waache Watanzania waondoe Stress za MagufuliHaisaidii kitu, haitswasafisha Chadema kutoka kwenye hii kashfa
Faragha kitu muhimu kijana usichungulie vyumbani waache Watanzania waondoe Stress za Magufuli
Bia Yetu ... Ha ha ha ha haaaaa comment ya uongo wa Mugufuli imekuchoma kama pasi ya umeme ... ni kweli M/Mungu hapendi muongo kama alivo sema Sheikh Ponda poleeee haiwezekani tumbadilishe M/Mungu apende uongo!!!
Kuhusu ushoga hili nafkiri tuwaulize nyinyi wenzetu hapo Lumumba veepe au na Nyinyi wenzetu wakatoliki mnaunga mkono juhudi za PAPA
View attachment 1610716
Nyie endeleeni kutetea faragha, Watanzania hatupo tayari kuingizwa kwenye ushoga
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Mbona mnawatishia kuwajeruhi Watanzania walio/watakaoamua kulinda/kuzuia wizi wa kura zao?Ulinzi shirikishi ni nguzo madhubuti ya uwajibikaji.Kwa nini liwe kosa kulinda kura bila fujo?Hivi maandamano ya Amani lazima watu waumizwe na vyombo vya ulinzi?Waache waendelee na kiherehere wakati msaliti wa Nchi Lissu ameshakata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji
Wataachwa wanateseka wodini
Mbona mnawatishia kuwajeruhi Watanzania walio/watakaoamua kulinda/kuzuia wizi wa kura zao?Ulinzi shirikishi ni nguzo madhubuti ya uwajibikaji.Kwa nini liwe kosa kulinda kura bila fujo?Hivi maandamano ya Amani lazima watu waumizwe na vyombo vya ulinzi?
Watanzania siyo wajinga,wakitaka kuandamana walindwe wasidhuriwe na askari wetu,watawala wazuie umwagaji wa damu kwa kutoamrisha watu kupigwa/kukamatwa bila sababu za msingi Bali walindwe.Kama hakuna wizi wa kura NECCM inaogopa nini?
Bia yetu usisahau kuweka kura yako kwa Tundu Lisu 28 10 2020 kwa Uhuru wako wa fikra na kaziHakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule msaliti wa Nchi ameshakata tikit ya kurudi kwao ubeligiji anajua Watanzania wamemkataa
Usaliti ni laana
Bia yetu usisahau kuweka kura yako kwa Tundu Lisu 28 10 2020 kwa Uhuru wako wa fikra na kazi
Laana kumKampeni za CCM mwaka huu zilijaa uchafu na ufuska mwingi kama hiviView attachment 1610643
Upewe sumu, utaendeleaje kupiga kelele?CCM ilikuwa ya Mzee Kinana, busara tele.
Sio hii ya Pole pole anayejivunia ma VX kama sera ya kuwavutia wapiga kura
Sio hii ya Bashiru aliyeishiwa nguvu kiasi anatangaza wazi kuwa ccm itatumia dola kushinda. Bashiru anayelia wana ccm kuisaliti
Mzee Mangula ameamua kujikalia kimya!!