Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza CCM wamefanya kampeni kinyonge na bila agenda za chama bali agenda za mtu mmoja

Nyie endeleeni kutetea faragha, Watanzania hatupo tayari kuingizwa kwenye ushoga

Nendeni ubeligiji mkafanye kwa uhuru
Faragha kitu muhimu kijana usichungulie vyumbani waache Watanzania waondoe Stress za Magufuli
 
Muongo ni yule Msaliti wa Nchi aliyetetea ushoga

Watanzania hatutaki ushoga
Bia Yetu ... Ha ha ha ha haaaaa comment ya uongo wa Mugufuli imekuchoma kama pasi ya umeme ... ni kweli M/Mungu hapendi muongo kama alivo sema Sheikh Ponda poleeee haiwezekani tumbadilishe M/Mungu apende uongo!!!

Kuhusu ushoga hili nafkiri tuwaulize nyinyi wenzetu hapo Lumumba veepe au na Nyinyi wenzetu wakatoliki mnaunga mkono juhudi za PAPA
View attachment 1610716
 
Waache waendelee na kiherehere wakati msaliti wa Nchi Lissu ameshakata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji

Wataachwa wanateseka wodini
Mbona mnawatishia kuwajeruhi Watanzania walio/watakaoamua kulinda/kuzuia wizi wa kura zao?Ulinzi shirikishi ni nguzo madhubuti ya uwajibikaji.Kwa nini liwe kosa kulinda kura bila fujo?Hivi maandamano ya Amani lazima watu waumizwe na vyombo vya ulinzi?
Watanzania siyo wajinga,wakitaka kuandamana walindwe wasidhuriwe na askari wetu,watawala wazuie umwagaji wa damu kwa kutoamrisha watu kupigwa/kukamatwa bila sababu za msingi Bali walindwe.Kama hakuna wizi wa kura NECCM inaogopa nini?
 
Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule msaliti wa Nchi ameshakata tikit ya kurudi kwao ubeligiji anajua Watanzania wamemkataa

Usaliti ni laana
Mbona mnawatishia kuwajeruhi Watanzania walio/watakaoamua kulinda/kuzuia wizi wa kura zao?Ulinzi shirikishi ni nguzo madhubuti ya uwajibikaji.Kwa nini liwe kosa kulinda kura bila fujo?Hivi maandamano ya Amani lazima watu waumizwe na vyombo vya ulinzi?
Watanzania siyo wajinga,wakitaka kuandamana walindwe wasidhuriwe na askari wetu,watawala wazuie umwagaji wa damu kwa kutoamrisha watu kupigwa/kukamatwa bila sababu za msingi Bali walindwe.Kama hakuna wizi wa kura NECCM inaogopa nini?
 
Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule msaliti wa Nchi ameshakata tikit ya kurudi kwao ubeligiji anajua Watanzania wamemkataa

Usaliti ni laana
Bia yetu usisahau kuweka kura yako kwa Tundu Lisu 28 10 2020 kwa Uhuru wako wa fikra na kazi
 
Kuchagua msaliti wa Nchi Lissu ni kujitakia laana

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Bia yetu usisahau kuweka kura yako kwa Tundu Lisu 28 10 2020 kwa Uhuru wako wa fikra na kazi
 
CCM ilikuwa ya Mzee Kinana, busara tele.

Sio hii ya Pole pole anayejivunia ma VX kama sera ya kuwavutia wapiga kura

Sio hii ya Bashiru aliyeishiwa nguvu kiasi anatangaza wazi kuwa ccm itatumia dola kushinda. Bashiru anayelia wana ccm kuisaliti

Mzee Mangula ameamua kujikalia kimya!!
Upewe sumu, utaendeleaje kupiga kelele?
 
Back
Top Bottom