luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Wakuu,
Huu ni ukweli kuwa CCM mwaka huu wametia aibu kuliko tulivyozoea.
Yaani matukio yafuatayo kwa mgombea pombe na wengine ndo yanathibitisha pigo la CCM kutojiamini na tutafuta njia ya kuwa wachekeshaji majukwaani.
1: Mgombea kubinuka jukwaani kwa pusha ups. Mgombea urais CCM kuwasurubisha wagombea ubunge, Mwigulu, Nyalandu wapige pushaps kuvutia watu.
2. Mkapa, nape, na viongozi wengine kushindwa sera na kutumia muda mwingi kwa matusi.
4. Kumuhonga slaa aisaliti chadema ili liwe pigo- kumbe wapi
5. Kutumia watu mbali mbali kwenye vyombo vya habari kumchafua Lowasa kumbe lakini wapi.
Mbinu hizi zote zomegonga mwamba. Jeikei anza kufunga vilago iluku mwachie mteule wa mungu Lowasa.
Huu ni ukweli kuwa CCM mwaka huu wametia aibu kuliko tulivyozoea.
Yaani matukio yafuatayo kwa mgombea pombe na wengine ndo yanathibitisha pigo la CCM kutojiamini na tutafuta njia ya kuwa wachekeshaji majukwaani.
1: Mgombea kubinuka jukwaani kwa pusha ups. Mgombea urais CCM kuwasurubisha wagombea ubunge, Mwigulu, Nyalandu wapige pushaps kuvutia watu.
2. Mkapa, nape, na viongozi wengine kushindwa sera na kutumia muda mwingi kwa matusi.
4. Kumuhonga slaa aisaliti chadema ili liwe pigo- kumbe wapi
5. Kutumia watu mbali mbali kwenye vyombo vya habari kumchafua Lowasa kumbe lakini wapi.
Mbinu hizi zote zomegonga mwamba. Jeikei anza kufunga vilago iluku mwachie mteule wa mungu Lowasa.