tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Tanzania imepata madaktari bingwa wanawake (Dr Aingaya Kaale na Dr Happiness Rabiel) wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu kwa Mara ya kwanza. Madaktari hawa wamesoma Katika chuo kikuu cha Muhimbili MUHAS, na kufanya mafunzo kwa Vitendo hapa MOI.