Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Kuna watu wanataka uwazi wa mienendo ya Serikali lakini wanalalamika Rais Magufuli kuitisha press conference ambazo zinatoa taarifa za kuijenga nchi yeye kama mwakilishi wetu anatakiwa aendelee kututaarifu juu ya kila lenye maslahi na nchi yetu