USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,894
- 22,657
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR