GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Akizungumza jana kupitia Kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Lugano Wilfred Mwakalebela alisema tena kwa 'Kujimwambafai' kabisa kuwa Wanachama na Mashabiki wa Yanga SC kama kawaida leo 'wajazane' na 'wajimwage' Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ili Kumpokea Mchezaji wao Yacouba Raia wa nchini Burkinafaso mida ya Saa Saba ( 7 ) za Mchana.
Akizungumza leo kupitia Kipindi cha Sports Courts cha Wasafi FM Mhamasishaji na Msemaji wa Yanga SC Antonio Nugaz amesema kuwa taarifa ya ujio wa Mchezaji wa Kimataifa wa nchini Burkinafaso Yacouba waliyopewa Wanachama na Mashabiki wa Yanga SC haikuwa sahihi hivyo amewaomba Radhi na kuwataka warejee tu Makwao na wasipoteze muda Wao kwenda Uwanja wa Ndege wa JNIA na wazipotezee hizo taarifa.
GENTAMYCINE kila mara tu nikiwa nawasema Yanga SC hapa mnadhani huwa 'Nazusha' tu au 'Nawaonea' je, kwa 'Upuuzi' huu bado ninawaonea?
Akizungumza leo kupitia Kipindi cha Sports Courts cha Wasafi FM Mhamasishaji na Msemaji wa Yanga SC Antonio Nugaz amesema kuwa taarifa ya ujio wa Mchezaji wa Kimataifa wa nchini Burkinafaso Yacouba waliyopewa Wanachama na Mashabiki wa Yanga SC haikuwa sahihi hivyo amewaomba Radhi na kuwataka warejee tu Makwao na wasipoteze muda Wao kwenda Uwanja wa Ndege wa JNIA na wazipotezee hizo taarifa.
GENTAMYCINE kila mara tu nikiwa nawasema Yanga SC hapa mnadhani huwa 'Nazusha' tu au 'Nawaonea' je, kwa 'Upuuzi' huu bado ninawaonea?