stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
chadema itaongoza nchi pale mabadiliko yatakapofanyika kwenye chama, kue na demokrasia kweli ambapo apo ni vijana wa mbelen kabisa sio hawa mtu ni mwenyekiti toka nyerere akiwa diwani