mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,300
- 732
Kubwa ndio. Lakini kubwa kiasi gani? Kwa kigezo gani sanifu?Simba ni brand kubwa...haijalishi mtaponda au mtatoa povu.
That's it...!
Kubwa ndio. Lakini kubwa kiasi gani? Kwa kigezo gani sanifu?Simba ni brand kubwa...haijalishi mtaponda au mtatoa povu.
That's it...!
Hapo pa rufaaKupata fedha nyingi zaidi za zawadi ya ushindi, kushiriki mara nyingi zaidi mashindano ya klabu za Afrika na kwa hivyo kuonekana/kujulikana zaidi nje ya mipaka ya Tanzania, kupata washabiki zaidi ilivyokuwa kimaumbile ushindi huvuta watu pamoja, wadau kuwa na furaha zaidi kuliko wa timu nyengine, kukubaliwa zaidi na wanafamilia ya Soka nchini na duniani, kuvutia zaidi wadhamini na kwa fedha nyingi zaidi, sauti zaidi mbele ya Uongozi wa Soka nchini na duniani, ........ rufaa kidogo zaidi kwenda FIFA.....!
Brand kubwa mwaka wa 5 bila kuchukua ubiņgwa wa ligì
Big brand kwa vigezo vipi? Baada ya kutolewa na kale ka timu sasa wametafuta kichaka cha kujifariji! Nilikuwa siamini kama mashabiki wa Simba ni mambumbu ...............! Na viongozi wao Wanawajulia sana
Ngoja Mbao wakusikieMbwe mbwe nyingi mpira hakuna