Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Utasikia kaapisha makatibu wa wizara, baraza jipya la mawaziri, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, majaji wanawake..... Mbona sisikii alieiba hela za serikali akajulikana na hata kuzirudisha TIB kashitakiwa kwa kosa la KUHUJUMU UCHUMI?
Naomba mwongozo kwa wanasheria, Nyerere na Sokoine walikua wanatumia sheria gani kuwatia mbaroni na hata wengine kuikimbia Tanzania hadi mauti ilipomkuta Nyerere kama Mkono?. Wako wapi viongozi wenye kuMfanya MTanzania kua mzalendo kwa nchi yake kwa kua anaongozwa na Mzalendo?
Sasa hapa nikimuita JK dhaifu ntafungiwa JF?
Hapa kuna shaka katiba ijayo ikamruhusu raisi kama JK kuapisha hadi wajumbe wa nyumba kumi, madiwani, mwenyekiti wa mtaa na hata kila harusi raisi awe mgeni mwalikwa.
Naomba mwongozo kwa wanasheria, Nyerere na Sokoine walikua wanatumia sheria gani kuwatia mbaroni na hata wengine kuikimbia Tanzania hadi mauti ilipomkuta Nyerere kama Mkono?. Wako wapi viongozi wenye kuMfanya MTanzania kua mzalendo kwa nchi yake kwa kua anaongozwa na Mzalendo?
Sasa hapa nikimuita JK dhaifu ntafungiwa JF?
Hapa kuna shaka katiba ijayo ikamruhusu raisi kama JK kuapisha hadi wajumbe wa nyumba kumi, madiwani, mwenyekiti wa mtaa na hata kila harusi raisi awe mgeni mwalikwa.