yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Kwanza kabisa kama expert ile clip ni ya ndugu Membe
Sasa nirudi kwenye content ya kile akichozungumza
Membe ni mtu ambaye hana ushawishi hata punje
Ni mtu ambaye amejificha nyuma ya mgongo wa kikwete akisubiri kikwete awasaport kufanikisha jambo lao ovu
Membe kisaikolojia ameshajiaandaa kufukuzwa chama na hana la kufanya
Membe anakiri kuwa kinana na Mzee makamba ni watu wamefanya uovu na ufisadi mkubwa
Membe anamwita Magufuli bwana mkubwa na kumtaja kama mtu mbabe asiyewezekana
Membe ni muoga kama kuku kwa kukaa nyuma ya wazee ili kufikisha ujumbe kwa mwenyekiti
Membe anamuhamasisha jakaya afunge goli akimaanisha kikwete aitishe mkutano na wanahabari ili kukosoa utawala uliopo madarakani kitu ambacho hakiwezi kutokea
Pamoja na kuwa membe anamdharau musiba akiwa anaongea na waandishi wa habari ila kiukweli nyuma ya pazia membe anakoseshwa usingizi sana na musiba
Kwasababu anachokiongea huwa kinaukweli mkubwa ndani yake
Nitarudi...
Sasa nirudi kwenye content ya kile akichozungumza
Membe ni mtu ambaye hana ushawishi hata punje
Ni mtu ambaye amejificha nyuma ya mgongo wa kikwete akisubiri kikwete awasaport kufanikisha jambo lao ovu
Membe kisaikolojia ameshajiaandaa kufukuzwa chama na hana la kufanya
Membe anakiri kuwa kinana na Mzee makamba ni watu wamefanya uovu na ufisadi mkubwa
Membe anamwita Magufuli bwana mkubwa na kumtaja kama mtu mbabe asiyewezekana
Membe ni muoga kama kuku kwa kukaa nyuma ya wazee ili kufikisha ujumbe kwa mwenyekiti
Membe anamuhamasisha jakaya afunge goli akimaanisha kikwete aitishe mkutano na wanahabari ili kukosoa utawala uliopo madarakani kitu ambacho hakiwezi kutokea
Pamoja na kuwa membe anamdharau musiba akiwa anaongea na waandishi wa habari ila kiukweli nyuma ya pazia membe anakoseshwa usingizi sana na musiba
Kwasababu anachokiongea huwa kinaukweli mkubwa ndani yake
Nitarudi...