Watanzania kama kweli tunaipenda nchi yetu tuache siasa na tujali nchi. Serikali inatakiwa kufanya yafuatayo
1. Kama Dowans walitoa huduma kweli za umeme pale ubungu basi walipwe pesa ya huduma tu. Hii siyo pesa ya kesi bali ni ya huduma iliyotolewa na thamani ya huduma ni ya kitaifa kama ilivyokubaliwa mwanzoni mwa huduma. Serikali isilipe pesa zaidi ya pesa za huduma iliyotolewa.
2. Serikali inunue mitambo kama ni bei ya kihalali ya hivyo vifaa vya Dowans. Watafute wataalamu wa kuhakiki thamani ya vifaa na wanunue kutoka kwa Dowans. Hii inaweza kufanya kwa kuangalia bei ya vifaa kama vya Dowans inavyoenda kwenye soko. Hii inamaana kama vifaa kama hivyo vinauzwa $50M na Dowans wakasema $45 basi tunajua tuna deal nzuri.
Hii itasaidia kuepusha gharama za usafiri wa vifaa vingene kuja Tanzania. Vilevile hivi vifaa vitakuwa vya Tanesco hivyo kuweka uhakiki wa umeme. Vilevile gharama za uendeshaji wa machine za Dowans ni ndogo kwasababu zinatumia Gas na zile za IPL zinatumia mafuta!. Gharama ni kama nusu.
Tanzania imesainishwa mikataba mibaya ya rushwa lakini sasa tuko kwenye shimo na tujaribu kutoka kwenye hili shimo kwanza bila kuumia njiani. Tuache politics za kila siku na tutafute ufumbuzi wa janga la umeme. Pamoja na kuwa mkataba wa hii kampuni una ulakini hii ni step nzuri Tanzania inaweza kufanya. Uamuzi mwingine wowote wakati huu utakuwa mbaya.
1. Kama Dowans walitoa huduma kweli za umeme pale ubungu basi walipwe pesa ya huduma tu. Hii siyo pesa ya kesi bali ni ya huduma iliyotolewa na thamani ya huduma ni ya kitaifa kama ilivyokubaliwa mwanzoni mwa huduma. Serikali isilipe pesa zaidi ya pesa za huduma iliyotolewa.
2. Serikali inunue mitambo kama ni bei ya kihalali ya hivyo vifaa vya Dowans. Watafute wataalamu wa kuhakiki thamani ya vifaa na wanunue kutoka kwa Dowans. Hii inaweza kufanya kwa kuangalia bei ya vifaa kama vya Dowans inavyoenda kwenye soko. Hii inamaana kama vifaa kama hivyo vinauzwa $50M na Dowans wakasema $45 basi tunajua tuna deal nzuri.
Hii itasaidia kuepusha gharama za usafiri wa vifaa vingene kuja Tanzania. Vilevile hivi vifaa vitakuwa vya Tanesco hivyo kuweka uhakiki wa umeme. Vilevile gharama za uendeshaji wa machine za Dowans ni ndogo kwasababu zinatumia Gas na zile za IPL zinatumia mafuta!. Gharama ni kama nusu.
Tanzania imesainishwa mikataba mibaya ya rushwa lakini sasa tuko kwenye shimo na tujaribu kutoka kwenye hili shimo kwanza bila kuumia njiani. Tuache politics za kila siku na tutafute ufumbuzi wa janga la umeme. Pamoja na kuwa mkataba wa hii kampuni una ulakini hii ni step nzuri Tanzania inaweza kufanya. Uamuzi mwingine wowote wakati huu utakuwa mbaya.