Kwa maneno ya Rais Je, ni kweli wapinzani hawana uzalendo, maadui na hawapendi maendeleo?

craq

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
859
1,864
"Kwenye vita zozote za kiuchumi changamoto zipo awamu ya tano ina pambana na vita ya uchumi na vita ya uchumi ni ngumu.Ina wagusa mabeberu wa kila aina tunaowazuia wezi wa aina hii hawawezi kufurahi,tunapozuia wizi wa dhahabu uliokuwa unafanyika kwenye nchi hii wizi wa hovyo kabisa hawawezi wakafurahi ,waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu wanapakiwa kwenye ndege wanaondoka wakiwa hai hawawezi wakafurahi.

"Na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa kabisa ya kutoka nje yataleta vitimbi vya kila aina ,watakuja na lugha ya kila aina ,watawachonganisha kwa kila aina kwasababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha wengine watakuja kwenye mambo ya vyama wapo wanaotaka nchi yetu isiendelee ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema nafuu imeshikwa libaki huko huko nyinyi mnajiulizaje mtu wa namna hio mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini mtu anashangilia.Huyu utamlinganisha na hawa vijana wazalendo waliokuwa wanakesha kujenga ukuta you can't compare them.Hata nyinyi waandishi wa habari hapo kila mmoja ana camera,ishikwe camera yako na polisi halafu waandishi wengine wote washangilie utawaona hao ni waandishi wazuri?utajua wote mpo pamoja kwenye kazi yenu ? .

"Au mtu unalima anakuja mtu anakunyang'anya jembe halafu jirani yako anashangilia au mmasai una ng'ombe wako unawachunga unawakamua vizuri anakuja mwizi anakunyang'anya ng'ombe wako halafu jirani yako anashangilia ng'ombe huyo nafuu amechukuliwa

"Utamuona huyo ni rafiki au ni adui ?

" nawaomba wa-Tanzania wenzangu bila kujali vyama vyetu tuige uzalendo wa vijana hawa

Nb:Jana waziri Mwigulu aliwatuhumu upinzani ni tatizo lingine la usalama wa nchi Leo Mh rais anawatuhumu wapinzani hawana uzalendo,ni adui,wanatumiwa ,hawana uchungu wanashangilia mali zao zikikamatwa, hawapo pamoja na wa-Tanzania wenzao nk...kama madai haya ya kweli tubadilike
 
mtu mwenye roho mbaya mara zote huwa hajijua kama ana roho mbaya na katiri yeyote poa huwa hajijui kama katiri hujiona kama yupo sahihi mda wote mara mara nyingi huwaona wanao msahihisha kama ndio maadui zake na hiyo huchangiwa na fikra duni na za kimaskini pamoja na uelewa finyu wa maswala ya kijamii.
 
Tanzania hii na hasa awamu hii ya tano uzalendo uko na tafsiri ya tofauti sana

Kwa sasa ukiwa mtu wa kukubali kila ujinga wa watawala utaonekana mzalendo machoni mwao

Leo hii ukitaka hata kuua wapinzani utaonekana ni mzalendo haswa mbele ya bwana yule

Uzalendo wa awamu hii ni pamoja na kununua madiwani na wabunge wa upinzani kisha uchaguzi unagharimu billions 6 huku hospital hazina dawa

Uzalendo wa awamu hii ni kuvunja sheria za manunuzi na kutumia pesa za serikali unavyojisikia kama zako vile

Uzalendo kwa awamu hii ni kunyima watumishi wa umma stahiki mbalimbali kama ongezeko la mishahara la kila mwaka lililopo kisheria

Pole yao sana waaminiao viongozi walaghai na wajanja wajanja
 
"Kwenye vita zozote za kiuchumi changamoto zipo awamu ya tano ina pambana na vita ya uchumi na vita ya uchumi ni ngumu.Ina wagusa mabeberu wa kila aina tunaowazuia wezi wa aina hii hawawezi kufurahi,tunapozuia wizi wa dhahabu uliokuwa unafanyika kwenye nchi hii wizi wa hovyo kabisa hawawezi wakafurahi ,waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu wanapakiwa kwenye ndege wanaondoka wakiwa hai hawawezi wakafurahi.

"Na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa kabisa ya kutoka nje yataleta vitimbi vya kila aina ,watakuja na lugha ya kila aina ,watawachonganisha kwa kila aina kwasababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha wengine watakuja kwenye mambo ya vyama wapo wanaotaka nchi yetu isiendelee ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema nafuu imeshikwa libaki huko huko nyinyi mnajiulizaje mtu wa namna hio mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini mtu anashangilia.Huyu utamlinganisha na hawa vijana wazalendo waliokuwa wanakesha kujenga ukuta you can't compare them.Hata nyinyi waandishi wa habari hapo kila mmoja ana camera,ishikwe camera yako na polisi halafu waandishi wengine wote washangilie utawaona hao ni waandishi wazuri?utajua wote mpo pamoja kwenye kazi yenu ? .

"Au mtu unalima anakuja mtu anakunyang'anya jembe halafu jirani yako anashangilia au mmasai una ng'ombe wako unawachunga unawakamua vizuri anakuja mwizi anakunyang'anya ng'ombe wako halafu jirani yako anashangilia ng'ombe huyo nafuu amechukuliwa

"Utamuona huyo ni rafiki au ni adui ?

" nawaomba wa-Tanzania wenzangu bila kujali vyama vyetu tuige uzalendo wa vijana hawa

Nb:Jana waziri Mwigulu aliwatuhumu upinzani ni tatizo lingine la usalama wa nchi Leo Mh rais anawatuhumu wapinzani hawana uzalendo,ni adui,wanatumiwa ,hawana uchungu wanashangilia mali zao zikikamatwa, hawapo pamoja na wa-Tanzania wenzao nk...kama madai haya ya kweli tubadilike
Ni kama kutukanwa na kichaa ukkasirika
 
mtuanayeenda kuchochea ndege zetu na mali zetu zikamatwe ni msaliti na mhaini na hana uzalendo ...na yamfaa kutiwa kitanzi kabisa(Enemy within) kamwe huwezi mfananisha na kijana wa JKT(Serviceman) Aliyejenga UKUTA mererani usiku na mchana !
 
DEFINITION; Uzalendo in 2015-2020

kITENZI: ni hali ya kuhama toka upinzani na kumuunga mkono rais pamoja na sisiEM yake.

DEFINITION; Uzalendo in 1961-2014

KiTENZI: ni hali ya mtu kuipenda nchi yake.

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Mkuu, samahani nakuomba hiyo 2014 usogeze hadi 2015 kwa heshima ya Mhe. Mzee wa matabasamu, isionekane hicho kitenzi cha kwanza kimeanzia kwake...
 
..huo ni mtazamo wa Mwenyekiti na kada wa CCM.

..sasa inatakiwa wenyeviti wa vyama na makada wa vyama vingine nao wapate nafasi ya kutoa mitizamo yao.

..baada ya hapo wananchi tupime ni yupi anatueleza ukweli, au ni yupi hoja zake zina mashiko.
 
mtuanayeenda kuchochea ndege zetu na mali zetu zikamatwe ni msaliti na mhaini na hana uzalendo ...na yamfaa kutiwa kitanzi kabisa(Enemy within) kamwe huwezi mfananisha na kijana wa JKT(Serviceman) Aliyejenga UKUTA mererani usiku na mchana !
Nani aliyekwenda kuchochea ndege ikamatwe zaidi ya wanaodai?
Ukikosa jibu ujue post yako inaakisi uwezo wako wa kuelewa masuala ya msingi
 
"Kwenye vita zozote za kiuchumi changamoto zipo awamu ya tano ina pambana na vita ya uchumi na vita ya uchumi ni ngumu.Ina wagusa mabeberu wa kila aina tunaowazuia wezi wa aina hii hawawezi kufurahi,tunapozuia wizi wa dhahabu uliokuwa unafanyika kwenye nchi hii wizi wa hovyo kabisa hawawezi wakafurahi ,waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu wanapakiwa kwenye ndege wanaondoka wakiwa hai hawawezi wakafurahi.

"Na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa kabisa ya kutoka nje yataleta vitimbi vya kila aina ,watakuja na lugha ya kila aina ,watawachonganisha kwa kila aina kwasababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha wengine watakuja kwenye mambo ya vyama wapo wanaotaka nchi yetu isiendelee ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema nafuu imeshikwa libaki huko huko nyinyi mnajiulizaje mtu wa namna hio mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini mtu anashangilia.Huyu utamlinganisha na hawa vijana wazalendo waliokuwa wanakesha kujenga ukuta you can't compare them.Hata nyinyi waandishi wa habari hapo kila mmoja ana camera,ishikwe camera yako na polisi halafu waandishi wengine wote washangilie utawaona hao ni waandishi wazuri?utajua wote mpo pamoja kwenye kazi yenu ? .

"Au mtu unalima anakuja mtu anakunyang'anya jembe halafu jirani yako anashangilia au mmasai una ng'ombe wako unawachunga unawakamua vizuri anakuja mwizi anakunyang'anya ng'ombe wako halafu jirani yako anashangilia ng'ombe huyo nafuu amechukuliwa

"Utamuona huyo ni rafiki au ni adui ?

" nawaomba wa-Tanzania wenzangu bila kujali vyama vyetu tuige uzalendo wa vijana hawa

Nb:Jana waziri Mwigulu aliwatuhumu upinzani ni tatizo lingine la usalama wa nchi Leo Mh rais anawatuhumu wapinzani hawana uzalendo,ni adui,wanatumiwa ,hawana uchungu wanashangilia mali zao zikikamatwa, hawapo pamoja na wa-Tanzania wenzao nk...kama madai haya ya kweli tubadilike
Vyama pinzani siyo wazalendo kwa ccm,
Na ni maadui wa ccm
Lkn ni wazalendo kwa Tanzania na siyo adui wa watanzania,

Wanaoilisha nchi hasara ndo maadui na siyo wazalendo,
Orodhesheni hasara ccm wameitia nchi,halafu orodhesheni hasara vyama pinzani vimeitia nchi,
Afu wianisheni mkokotoo
Majibu yaacheni vifuani mwenu, muone km hamtajitukana
 
mtuanayeenda kuchochea ndege zetu na mali zetu zikamatwe ni msaliti na mhaini na hana uzalendo ...na yamfaa kutiwa kitanzi kabisa(Enemy within) kamwe huwezi mfananisha na kijana wa JKT(Serviceman) Aliyejenga UKUTA mererani usiku na mchana !
Fact!
Au anaisema nchi yake sio salama katika vyombo vya habari nchi jirani! Pathetic kwa kweli upinzani ni mafisadi waliokatiwa mirija ya kunyonya nchi yetu!
 
"Kwenye vita zozote za kiuchumi changamoto zipo awamu ya tano ina pambana na vita ya uchumi na vita ya uchumi ni ngumu.Ina wagusa mabeberu wa kila aina tunaowazuia wezi wa aina hii hawawezi kufurahi,tunapozuia wizi wa dhahabu uliokuwa unafanyika kwenye nchi hii wizi wa hovyo kabisa hawawezi wakafurahi ,waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu wanapakiwa kwenye ndege wanaondoka wakiwa hai hawawezi wakafurahi.

"Na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa kabisa ya kutoka nje yataleta vitimbi vya kila aina ,watakuja na lugha ya kila aina ,watawachonganisha kwa kila aina kwasababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha wengine watakuja kwenye mambo ya vyama wapo wanaotaka nchi yetu isiendelee ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema nafuu imeshikwa libaki huko huko nyinyi mnajiulizaje mtu wa namna hio mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini mtu anashangilia.Huyu utamlinganisha na hawa vijana wazalendo waliokuwa wanakesha kujenga ukuta you can't compare them.Hata nyinyi waandishi wa habari hapo kila mmoja ana camera,ishikwe camera yako na polisi halafu waandishi wengine wote washangilie utawaona hao ni waandishi wazuri?utajua wote mpo pamoja kwenye kazi yenu ? .

"Au mtu unalima anakuja mtu anakunyang'anya jembe halafu jirani yako anashangilia au mmasai una ng'ombe wako unawachunga unawakamua vizuri anakuja mwizi anakunyang'anya ng'ombe wako halafu jirani yako anashangilia ng'ombe huyo nafuu amechukuliwa

"Utamuona huyo ni rafiki au ni adui ?

" nawaomba wa-Tanzania wenzangu bila kujali vyama vyetu tuige uzalendo wa vijana hawa

Nb:Jana waziri Mwigulu aliwatuhumu upinzani ni tatizo lingine la usalama wa nchi Leo Mh rais anawatuhumu wapinzani hawana uzalendo,ni adui,wanatumiwa ,hawana uchungu wanashangilia mali zao zikikamatwa, hawapo pamoja na wa-Tanzania wenzao nk...kama madai haya ya kweli tubadilike
Ukweli mchungu, Umeona!eeh! Wanapita mbali Ile mbaya
 
"Kwenye vita zozote za kiuchumi changamoto zipo awamu ya tano ina pambana na vita ya uchumi na vita ya uchumi ni ngumu.Ina wagusa mabeberu wa kila aina tunaowazuia wezi wa aina hii hawawezi kufurahi,tunapozuia wizi wa dhahabu uliokuwa unafanyika kwenye nchi hii wizi wa hovyo kabisa hawawezi wakafurahi ,waliokuwa wanasafirisha wanyama wetu wanapakiwa kwenye ndege wanaondoka wakiwa hai hawawezi wakafurahi.

"Na ni watu wenye uwezo mkubwa mengine ni mataifa kabisa ya kutoka nje yataleta vitimbi vya kila aina ,watakuja na lugha ya kila aina ,watawachonganisha kwa kila aina kwasababu ukitaka watu uwatawale ni kuwachonganisha wengine watakuja kwenye mambo ya vyama wapo wanaotaka nchi yetu isiendelee ndege ni yenu mtapanda wote lakini mtu anasimama pale anasema nafuu imeshikwa libaki huko huko nyinyi mnajiulizaje mtu wa namna hio mali ni yenu imeshikwa ni mali yenu lakini mtu anashangilia.Huyu utamlinganisha na hawa vijana wazalendo waliokuwa wanakesha kujenga ukuta you can't compare them.Hata nyinyi waandishi wa habari hapo kila mmoja ana camera,ishikwe camera yako na polisi halafu waandishi wengine wote washangilie utawaona hao ni waandishi wazuri?utajua wote mpo pamoja kwenye kazi yenu ? .

"Au mtu unalima anakuja mtu anakunyang'anya jembe halafu jirani yako anashangilia au mmasai una ng'ombe wako unawachunga unawakamua vizuri anakuja mwizi anakunyang'anya ng'ombe wako halafu jirani yako anashangilia ng'ombe huyo nafuu amechukuliwa

"Utamuona huyo ni rafiki au ni adui ?

" nawaomba wa-Tanzania wenzangu bila kujali vyama vyetu tuige uzalendo wa vijana hawa

Nb:Jana waziri Mwigulu aliwatuhumu upinzani ni tatizo lingine la usalama wa nchi Leo Mh rais anawatuhumu wapinzani hawana uzalendo,ni adui,wanatumiwa ,hawana uchungu wanashangilia mali zao zikikamatwa, hawapo pamoja na wa-Tanzania wenzao nk...kama madai haya ya kweli tubadilike

Niliapoanza tu kusoma paragraph ya pili niligundua huu Uzi wakikada zaid sikuendelea.
Hapa hakuna vita ya uchumi wala vita mabeberu...Kuna maigizo tu, na upigaji wa pesa. Nchi haina pesa hazina, deni la taifa limepaaa, maisha magumu,hakuna kinachoonekana kufanywa na serikal zaidd ya kutafuta sifa kwenye media.Elimu inakufa,uchumi unazama, umaskin unastwi kama uyoga. Eti vita ya kiuchumi mnapigana na nan wakati hao mnawaita mabeberu ndio wanao fund budget yenu, miradi yenu kutwa kuchwa mnawapigia magoti kuwaomba misaada na mikopo.
 
Back
Top Bottom