Kwa mambo haya, acha niipende Kenya japo mtanzania

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
1,531
1,132
Ukiangalia hzi picha za baadhi ya miradi inayoendelea Kenya utasema, hvi Watanzania tuna serikali au tuna nn?
7bc4ed77764afc49a216608be206157f.jpg

2f21277a8340f7a9e62ac050098ca3f2.jpg

230dda3201d0d97ed7f416a5588f0d39.jpg
 
We mbona mambo madogo sana haya!! Unatutia aibu kutothamini nchi yako kwa vidaraja hivyo. Subiri tazara na salenda na ubungo pakamilike. Kigamboni umefika?
Unatema bigG kwa karanga za kuonjeshwa !!!
 
Au ni kwa sababu waTZ hatuhangaiki na picha kwenye media kuonyesha kama tunaendelea...
 
Mimi pia ni mtz lakini tangu mwezi huu wa 7 uanze nimehamia kenya mazima.

Kenya ni nchi inayoendelea kwa kasi ya ajabu... Sio Tanzania nasikia magufuli anagawa vyeo kichama. Mtu anapewa kazi ambayo hana elimu nayo kisa tu ni mwana ccm
 
'Bado teuzi za watendaji kata ndipo kazi rasmi zianze.Lazima makada wote wapate kazi pia ndio itakua rahisi uchaguzi 2020 maana kasi ya kukichukia chama chetu kitukufu inazidi kuongezeka.,
 
Mkuu mpaka saa hizi bado tu Wenye kujifanya wao ni WAZAWA wa Kitanzania HAWAJAKUTISHA na kukuita MKIMBIZI au MNAFIKI? Mwenzako nimeshakomaa kwa LAWAMA bila shaka nawe UTAKOMAA pia. Kila la kheri!
Unaumwa wewe!. Huna uzalendo pamoja na huyo mwenzako kama vipi hamieni huko kenya!
 
Mimi pia ni mtz lakini tangu mwezi huu wa 7 uanze nimehamia kenya mazima.

Kenya ni nchi inayoendelea kwa kasi ya ajabu... Sio Tanzania nasikia magufuli anagawa vyeo kichama. Mtu anapewa kazi ambayo hana elimu nayo kisa tu ni mwana ccm
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom