Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

Walimu karibu 95% ndiyo mnaokwenda kuwa wasimamizi kwenye vituo vya kupigia kura tarehe 28/10/2020..

Nendeni mkafanye kitu, acheni kutishwa maana mnaambiwa mmepewa hiyo kazi kuhakikisha Magufuli anashinda hata kwa kupindua meza..

Na mmeambiwa mtumishi wa umma yeyote kwenye kituo chake cha kupigia kura atakachosimamia, kama Tundu Lissu ataongoza kwa kura ya Urais , basi eti jihesabu HUNA KAZI..

Very stupid, vitisho vya kijinga na kipumbavu sana hivi!!!

Tunawasihi na kuwatia moyo kuwa, hawana lolote. Wasiwatishe kwa sababu kuanzia tarehe 28/10/2020 ifikapo saa 5:59usiku, John Pombe Magufuli SI RAIS WA JMT tena na kwa hiyo hatakuwa na nguvu wala mamlaka ya kumfukuza kazi mtu awaye yeyote..!

Msije mkafanya kosa la kuusaidia UOVU na mtu MWOVU (Magufuli) kuendelea kuwatawala..

Atashindwa na muacheni ashindwe. Kamwe msitumike kuiba kura kumsaidia mtu mwovu kuendelea kutawala!!
 
Kutofahamu haki na stahiki za wenye taaluma yao ya elimu ndiyo ujinga wako.

Maana huelewi yana umuhimu gani ktk taaluma yao.

Haki inapodhurumiwa ni sharti la mwenyekudhurumu achukuliwe hatua ya kulipa alichodhulumu kabla ya aliye dhulumiwa kuondoka.

Vivyo hivyo watumishi hawawezi kuacha kazi mpaka stahiki zao zitakapo lipwa.

Wengi walijitoa nafasi hizo (kuacha kazi) pale haki zao za fao la kujitoa lilipo kuwepo.

Serikali ilivyo kopa mifuko ya watumishi kujenga flyovers (fedha za watumishi) ndio ukawa mwanzo wa matatizo haya ya watumishi kusitisha kuacha kazi.

Kumwambia mtumishi aache kazi akiacha madai yake kwa serikali bila kulipwa ni kumwambia aache fedha zake ziliwe na serikali.

Huu ni ujinga wako binafsi wewe usiyejielewa.

Kabla hujasema hivyo wawalipe stahiki zao kama hawajaacha hizo kazi na kuwekeza kwenye maeneo mengine ya kiuchumi.
Yaan kote umeongea vizuri umeharibu hapo tu uliposema nisiejielewa...kwa sasa nakusitiri kuku jibu ila jua kua anaetakiwa kujua najielewa au sijielewi ni mke wangu sasa ww sijui nani kwangu?
 
Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano

1. Makato ya bodi ya mikopo toka 8% hadi 15% bila sababu maalum tena kwa ubabe.

2. kutunyima nyongeza ya mshahara (annual increment) kwa miaka takribani mitano wakati ni haki ya msingi ya mtumishi.

3. Kutopandishwa daraja mwaka wa 6 huu unakwenda wa 7. Mie nimeajiriwa mwaka 2014 mwezi Aprili, mpaka leo Oktoba 2020 takribani miaka sita imepita huku nikilipwa mshahara wa TGTS D ambao ndio nilioanza nao mwaka 2014 na hata anayeajiriwa leo naye atalipwa hivyohivyo. Halafu wasanii wa bongo fleva wanatanua na kuchezea hela ya serikali kwenye kampeni zako.

4. Kutolipa hela ya likizo kwa wakati. Mfano mie likizo ya malipo nimeenda juni 2017 na juni 2019 JPM ukiwa madarakini, likizo zote nimesafiri toka Lindi hadi Mwanza bila kulipwa hata senti, mwaka huu ndio nimepewa hela ya likizo ya mwaka 2017 tena nusu tu.

5. Hela ya usimamizi wa mitihani ya Taifa kidato cha 4, 2 na 6 kutolipwa yote ya mwaka 2018 na 2019 huku siku za usimamizi (za malipo) kwa wataalamu wa maabala zikishushwa kuanzia mwaka huu toka siku 6 hadi moja.

6. Sheria mpya ya wastaafu ambayo umejifanya Kuibatilisha hadi 2022 ni geresha tu kupisha uchaguzi mkuu huu ufanyike na baada ya hapo kikokotoo kipya kianze kazi. malipo ya mkupuo kwa wastaafu (Lumpsum) kwa Kikokotoo kipya kinataka mstaafu apewe 25% ya mafao yake yote, na 75% zinazobaki apewe kidogokidogo hadi kufa kwake mfano milioni 100 upewe milioni 25 halafu milioni 75 nilipwe kidogokidogo. Mie kama mtumishi hii kwangu haiingii akilini na ili isiniumize ni kukunyima tu kura yangu

7. Ulituahidi Laptop kila mwalimu 2015 lakini muda wako wa awamu ya kwanza unaenda mwishoni bila dalili yoyote ya kupewa hiyo Laptop.

8. Uzalilishaji unaofanywa na wateule wako kama Ma-RC na ma-DC mbele ya wanafunzi wetu na wewe umekuwa kimya. Mfano kutulazimisha kulala kwenye mwenge tena kwa kuitwa majina kama watoto.

9. Ninachangia bima ya afya (3%) kila mwezi halafu dawa za muhimu zimeondolewa na unapoenda hospitali tunalazimika kujinunulia kwa hela yetu.

10. Sababu za Kutoa kufundisha walimu wa masomo ya sanaa wa sekondari kwenda shule za msingi ni za ajabu sana
Kura kurara ...kazi na kura bata.....kila mtu ana kura 1 tu......
 
Siyo mwalimu huyo dalali tu, annual increment kila mwaka imekuwa ikiingia. Madaraja walimu tunaostahili tumepandishwa wale waliostahili kupandishwa halafu hawakupandishwa pasipo sababu walipolalamika maafisa utumishi waliwajibishwa.

Acha kudandia taaluma za watu mimi ni mwalimu niko pamoja na Magufuli.Jikite kwenye siasa zako siyo kuwasemea waalimu.
We fala, hebu nyamaza. Wanaume wanapoongea wewe nenda katunge shanga, usiku ukachenguliwe na masela. Hivi unaijua annual increment wewe.
 
We sio mwalimu no kanjanja flani usie jua unacho kiongea natamani ata nikutafune mzima mzima
Kama ni kutetea ugali wako kiivyo umefeli kabisa afu ukute we ni kula kulala hujui ata adha ya kutafuta mkate wa kila siku
Watu wanaugua mafua kila siku unashindwa at a hela ya maziwa we unaleta porojo zako hapa pumbafu kabisa
Hakuna uongo hata chembe kwa aliyoyazungumza. Wanaojitambua wote hatumpi jiwe kura.
 
Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano

1. Makato ya bodi ya mikopo toka 8% hadi 15% bila sababu maalum tena kwa ubabe.

2. kutunyima nyongeza ya mshahara (annual increment) kwa miaka takribani mitano wakati ni haki ya msingi ya mtumishi.

3. Kutopandishwa daraja mwaka wa 6 huu unakwenda wa 7. Mie nimeajiriwa mwaka 2014 mwezi Aprili, mpaka leo Oktoba 2020 takribani miaka sita imepita huku nikilipwa mshahara wa TGTS D ambao ndio nilioanza nao mwaka 2014 na hata anayeajiriwa leo naye atalipwa hivyohivyo. Halafu wasanii wa bongo fleva wanatanua na kuchezea hela ya serikali kwenye kampeni zako.

4. Kutolipa hela ya likizo kwa wakati. Mfano mie likizo ya malipo nimeenda juni 2017 na juni 2019 JPM ukiwa madarakini, likizo zote nimesafiri toka Lindi hadi Mwanza bila kulipwa hata senti, mwaka huu ndio nimepewa hela ya likizo ya mwaka 2017 tena nusu tu.

5. Hela ya usimamizi wa mitihani ya Taifa kidato cha 4, 2 na 6 kutolipwa yote ya mwaka 2018 na 2019 huku siku za usimamizi (za malipo) kwa wataalamu wa maabala zikishushwa kuanzia mwaka huu toka siku 6 hadi moja.

6. Sheria mpya ya wastaafu ambayo umejifanya Kuibatilisha hadi 2022 ni geresha tu kupisha uchaguzi mkuu huu ufanyike na baada ya hapo kikokotoo kipya kianze kazi. malipo ya mkupuo kwa wastaafu (Lumpsum) kwa Kikokotoo kipya kinataka mstaafu apewe 25% ya mafao yake yote, na 75% zinazobaki apewe kidogokidogo hadi kufa kwake mfano milioni 100 upewe milioni 25 halafu milioni 75 nilipwe kidogokidogo. Mie kama mtumishi hii kwangu haiingii akilini na ili isiniumize ni kukunyima tu kura yangu

7. Ulituahidi Laptop kila mwalimu 2015 lakini muda wako wa awamu ya kwanza unaenda mwishoni bila dalili yoyote ya kupewa hiyo Laptop.

8. Uzalilishaji unaofanywa na wateule wako kama Ma-RC na ma-DC mbele ya wanafunzi wetu na wewe umekuwa kimya. Mfano kutulazimisha kulala kwenye mwenge tena kwa kuitwa majina kama watoto.

9. Ninachangia bima ya afya (3%) kila mwezi halafu dawa za muhimu zimeondolewa na unapoenda hospitali tunalazimika kujinunulia kwa hela yetu.

10. Sababu za Kutoa kufundisha walimu wa masomo ya sanaa wa sekondari kwenda shule za msingi ni za ajabu sana
Jiandae Kasaikologia ka Kura kako kamojaa hatana impact
 
Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano

1. Makato ya bodi ya mikopo toka 8% hadi 15% bila sababu maalum tena kwa ubabe.

2. kutunyima nyongeza ya mshahara (annual increment) kwa miaka takribani mitano wakati ni haki ya msingi ya mtumishi.

3. Kutopandishwa daraja mwaka wa 6 huu unakwenda wa 7. Mie nimeajiriwa mwaka 2014 mwezi Aprili, mpaka leo Oktoba 2020 takribani miaka sita imepita huku nikilipwa mshahara wa TGTS D ambao ndio nilioanza nao mwaka 2014 na hata anayeajiriwa leo naye atalipwa hivyohivyo. Halafu wasanii wa bongo fleva wanatanua na kuchezea hela ya serikali kwenye kampeni zako.

4. Kutolipa hela ya likizo kwa wakati. Mfano mie likizo ya malipo nimeenda juni 2017 na juni 2019 JPM ukiwa madarakini, likizo zote nimesafiri toka Lindi hadi Mwanza bila kulipwa hata senti, mwaka huu ndio nimepewa hela ya likizo ya mwaka 2017 tena nusu tu.

5. Hela ya usimamizi wa mitihani ya Taifa kidato cha 4, 2 na 6 kutolipwa yote ya mwaka 2018 na 2019 huku siku za usimamizi (za malipo) kwa wataalamu wa maabala zikishushwa kuanzia mwaka huu toka siku 6 hadi moja.

6. Sheria mpya ya wastaafu ambayo umejifanya Kuibatilisha hadi 2022 ni geresha tu kupisha uchaguzi mkuu huu ufanyike na baada ya hapo kikokotoo kipya kianze kazi. malipo ya mkupuo kwa wastaafu (Lumpsum) kwa Kikokotoo kipya kinataka mstaafu apewe 25% ya mafao yake yote, na 75% zinazobaki apewe kidogokidogo hadi kufa kwake mfano milioni 100 upewe milioni 25 halafu milioni 75 nilipwe kidogokidogo. Mie kama mtumishi hii kwangu haiingii akilini na ili isiniumize ni kukunyima tu kura yangu

7. Ulituahidi Laptop kila mwalimu 2015 lakini muda wako wa awamu ya kwanza unaenda mwishoni bila dalili yoyote ya kupewa hiyo Laptop.

8. Uzalilishaji unaofanywa na wateule wako kama Ma-RC na ma-DC mbele ya wanafunzi wetu na wewe umekuwa kimya. Mfano kutulazimisha kulala kwenye mwenge tena kwa kuitwa majina kama watoto.

9. Ninachangia bima ya afya (3%) kila mwezi halafu dawa za muhimu zimeondolewa na unapoenda hospitali tunalazimika kujinunulia kwa hela yetu.

10. Sababu za Kutoa kufundisha walimu wa masomo ya sanaa wa sekondari kwenda shule za msingi ni za ajabu sana
Huyu Magufuli na serikali yake ni hovyo kabisa na imezima ndoto za mamia kwa maelfu ya Watanzania. Hafai kabisa. Kura zote ni kwa Mheshimiwa Lissu. Tanzania tuanze ukurasa mpya. Huu ukurasa wa magufuli hausomeki.
 
Hongera kwa kuyatambua hayo....! Tena nyinyi walimu ndio mnatia huruma sana basi tu, Mnaishi ni kama wafungwa wenye kifungo cha nje chenye masharti magumu...

Maisha ya walimu na polisi ni balaa sana...
Full time stress!!
 
Yaan kote umeongea vizuri umeharibu hapo tu uliposema nisiejielewa...kwa sasa nakusitiri kuku jibu ila jua kua anaetakiwa kujua najielewa au sijielewi ni mke wangu sasa ww sijui nani kwangu?
Kuacha kazi ndiyo umekuwa kibwagizo cha watu wasiojielewa kama wewe.

Serikali irudishe fao ka kujitoa, uone kama watumishi hawajawaachia kazi zenu na hivyo viinua migongo vya 25%

Maana hata hao wapya mtakaowaajiri mnawaona wengi mtaani wakifikisha miaka 5 tu kazini wataanza madai yaleyale

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano

1. Makato ya bodi ya mikopo toka 8% hadi 15% bila sababu maalum tena kwa ubabe.

2. kutunyima nyongeza ya mshahara (annual increment) kwa miaka takribani mitano wakati ni haki ya msingi ya mtumishi.

3. Kutopandishwa daraja mwaka wa 6 huu unakwenda wa 7. Mie nimeajiriwa mwaka 2014 mwezi Aprili, mpaka leo Oktoba 2020 takribani miaka sita imepita huku nikilipwa mshahara wa TGTS D ambao ndio nilioanza nao mwaka 2014 na hata anayeajiriwa leo naye atalipwa hivyohivyo. Halafu wasanii wa bongo fleva wanatanua na kuchezea hela ya serikali kwenye kampeni zako.

4. Kutolipa hela ya likizo kwa wakati. Mfano mie likizo ya malipo nimeenda juni 2017 na juni 2019 JPM ukiwa madarakini, likizo zote nimesafiri toka Lindi hadi Mwanza bila kulipwa hata senti, mwaka huu ndio nimepewa hela ya likizo ya mwaka 2017 tena nusu tu.

5. Hela ya usimamizi wa mitihani ya Taifa kidato cha 4, 2 na 6 kutolipwa yote ya mwaka 2018 na 2019 huku siku za usimamizi (za malipo) kwa wataalamu wa maabala zikishushwa kuanzia mwaka huu toka siku 6 hadi moja.

6. Sheria mpya ya wastaafu ambayo umejifanya Kuibatilisha hadi 2022 ni geresha tu kupisha uchaguzi mkuu huu ufanyike na baada ya hapo kikokotoo kipya kianze kazi. malipo ya mkupuo kwa wastaafu (Lumpsum) kwa Kikokotoo kipya kinataka mstaafu apewe 25% ya mafao yake yote, na 75% zinazobaki apewe kidogokidogo hadi kufa kwake mfano milioni 100 upewe milioni 25 halafu milioni 75 nilipwe kidogokidogo. Mie kama mtumishi hii kwangu haiingii akilini na ili isiniumize ni kukunyima tu kura yangu

7. Ulituahidi Laptop kila mwalimu 2015 lakini muda wako wa awamu ya kwanza unaenda mwishoni bila dalili yoyote ya kupewa hiyo Laptop.

8. Uzalilishaji unaofanywa na wateule wako kama Ma-RC na ma-DC mbele ya wanafunzi wetu na wewe umekuwa kimya. Mfano kutulazimisha kulala kwenye mwenge tena kwa kuitwa majina kama watoto.

9. Ninachangia bima ya afya (3%) kila mwezi halafu dawa za muhimu zimeondolewa na unapoenda hospitali tunalazimika kujinunulia kwa hela yetu.

10. Sababu za Kutoa kufundisha walimu wa masomo ya sanaa wa sekondari kwenda shule za msingi ni za ajabu sana
Fanya kampeini vizuri sana kutafuta mtu atakayekutimiza yote utakayo. Zamani sana siku katika hekaya za kusadikika kule Ujerunai kulikuwa na mtu mmoja katika kijiji cha Hamelin alikuwa anajua sana kupiga filimbi tamu; kwa hiyo akipiga filimbi yake, panya watamfuata na mwishowe kuwaingiza majini ambako wanafia huko. Mpiga filimbi yule pia alipiga filiambi akaondoka na watoto wote kijijini na kuwaingiza pangoni. Mlio wa filimbi unaweza kuwa mtamu sana; tatizo ni hatima yake.
 
Back
Top Bottom