Kwa makosa haya ya uandishi wa maneno unaofanywa na waandishi wa habari hivi BAKITA ipo hai au imekufa?

Kifimbo Cheza

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
248
112
Nimekuwa nikifuatilia uandishi wa Waandishi mbalimbali wa Habari na watumiaji wa mitandao hii ya kijamii. Kumekuwa na uandishi mbovu wa lugha ya kiswahili lakini Baraza lipo kimya bila kukemea upotoshwaji wa lugha yetu adhimu ya kiswahili. Mfano wa uandishi mbovu unaokera Ui ule wa neno siyo kuandikwa sio kitu ambacho si sahihi kabisa. Ugonjwa huu upo mpaka kwenye gazeti la HABARI LEO ambalo ndiyo lingekuwa mfano wa uandishi fasaha wa lugha yetu.

BAKITA mpo wapi?
 
Oni Sigala anasemaje kwani?

Mengine ni mazoea tu, binafsi najua neno halafu linavyoandikwa officially lakini nikiwa busy kuchatika naandika "afu"
 
Oni Sigala anasemaje kwani?

Mengine ni mazoea tu, binafsi najua neno halafu linavyoandikwa officially lakini nikiwa busy kuchatika naandika "afu"
Watanzania mna akili fupi sana Yani unajenga hoja za taasisi kukosea lugha kwa sababu ya kuwa bize Kama wewe.. kweli Tanzanians Ni most low IQ humans to exist on Earth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom