Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,697
- 13,079
DAS maana yake nin mkuu?Balozi Batilda anarudi kwenda kuwa DAS nimesikitika sana,
DAS maana yake nin mkuu?Balozi Batilda anarudi kwenda kuwa DAS nimesikitika sana,
Dai anasa salamaDAS maana yake nin mkuu?
Kama Baba yako Mjomba wako Hakuwahi kuisaidia TANU au CCM sahau TeuziNipo mjini Dsm zamani waliliita jiji la Dsm. Nimekuja na ndege iliyonunuliwa awamu iliyopita na nimepanda madaraja mawili ya awamu ya Tano. Nilipita MFUGALE nikaiona Buguruni kwa chini ikiwa bado chakavu na yenye foleni ya malori. Baadaya nikatoka posta kwenda kunywa kahawa mlimany city nikasema wakati narudi hotelini nipite daraja la mzalendo Kijazi.
Kwa kweli ubungo imependeza na watu napishana kwa raha na hii nimpongeze Hayati Magufuli.
Lakini nikiwa Mlimani City kwa takriban masaa manne nikiwa napitia PDF ya ma Ras nikawasikia vijana wanaijadili. Kwa ujumla huku mtaani kila msomi inaonekana anamini nimteule wa Rais anayesubiri kuteuliwa.
Vijana hawa wengi wanaonekana ni wasomi wa masters na PhD au niwakufunzi wa UDS, wanachojadili nikwanini flan kaachwa, mara mkuu usiofu bado nafasi zipo,mara fulani ajasoma mbona kateuliwa, mara GPA nk Hawa ndio wasomi wa dar wanaowaza kuteuliwa badala yakuwaza kutafuta fedha.
Unapokuta vijiwe kama Mcity watu wamekaa kimakundi KUJADILI teuzi unabaini kazi hazifanyiki na vijana wameacha kujishighulisha wanasaka ajira za uteuzi.
Na Mimi kweli nilipoona Hadi Balozi Batilda anarudi kwenda kuwa DAS nimesikitika sana, Ni udhalilishaji wa hadhi ya ubalozi. Lakini pia inavyoonekana watumishi wengi ambao ni wateule wa Rais hawana kazi mbadala zakufanya. Namwangalia Chogello anakwenda kuwa DAS najiuliza seniority kwenye mfumo wa nchi ipo?
Kwamba hawa watu ndio wasimamizi wa makatibu kata wa mkoa, kwamba leo Batilda akaandike minutes za kamati ya mkoa? Kutoka waziri,balozi hadi DAS?
Pamoja na kwamba ajira ni ngumu ila haimaanishi taifa limekosa watendaji Hadi tukawachukue retired nakuwapa kazi za vijana.
Mfumo wa uteuzi uangaliwe upya, RC awe na exposure kuliko DAS lakini tunapowashurutisha senior officers ma RC watashindwa kufanya kazi na ndo tunazalisha migogoro.
Nanyi vijana subirini mzeeke ila mzeeke mkiwa na fedha au exposure ndo mtapata uteuzi
Kamugisha hakika unamaanisha na kudhihirisha kuwa kina nshomile wengi wenu mpo njema kichwanj.Nipo mjini Dsm zamani waliliita jiji la Dsm. Nimekuja na ndege iliyonunuliwa awamu iliyopita na nimepanda madaraja mawili ya awamu ya Tano. Nilipita MFUGALE nikaiona Buguruni kwa chini ikiwa bado chakavu na yenye foleni ya malori. Baadaya nikatoka posta kwenda kunywa kahawa mlimany city nikasema wakati narudi hotelini nipite daraja la mzalendo Kijazi.
Kwa kweli ubungo imependeza na watu napishana kwa raha na hii nimpongeze Hayati Magufuli.
Lakini nikiwa Mlimani City kwa takriban masaa manne nikiwa napitia PDF ya ma Ras nikawasikia vijana wanaijadili. Kwa ujumla huku mtaani kila msomi inaonekana anamini nimteule wa Rais anayesubiri kuteuliwa.
Vijana hawa wengi wanaonekana ni wasomi wa masters na PhD au niwakufunzi wa UDS, wanachojadili nikwanini flan kaachwa, mara mkuu usiofu bado nafasi zipo,mara fulani ajasoma mbona kateuliwa, mara GPA nk Hawa ndio wasomi wa dar wanaowaza kuteuliwa badala yakuwaza kutafuta fedha.
Unapokuta vijiwe kama Mcity watu wamekaa kimakundi KUJADILI teuzi unabaini kazi hazifanyiki na vijana wameacha kujishighulisha wanasaka ajira za uteuzi.
Na Mimi kweli nilipoona Hadi Balozi Batilda anarudi kwenda kuwa DAS nimesikitika sana, Ni udhalilishaji wa hadhi ya ubalozi. Lakini pia inavyoonekana watumishi wengi ambao ni wateule wa Rais hawana kazi mbadala zakufanya. Namwangalia Chogello anakwenda kuwa DAS najiuliza seniority kwenye mfumo wa nchi ipo?
Kwamba hawa watu ndio wasimamizi wa makatibu kata wa mkoa, kwamba leo Batilda akaandike minutes za kamati ya mkoa? Kutoka waziri,balozi hadi DAS?
Pamoja na kwamba ajira ni ngumu ila haimaanishi taifa limekosa watendaji Hadi tukawachukue retired nakuwapa kazi za vijana.
Mfumo wa uteuzi uangaliwe upya, RC awe na exposure kuliko DAS lakini tunapowashurutisha senior officers ma RC watashindwa kufanya kazi na ndo tunazalisha migogoro.
Nanyi vijana subirini mzeeke ila mzeeke mkiwa na fedha au exposure ndo mtapata uteuzi