Hivi wanaohakiki wanalipwa perdiem? Kama wanalipwa sidhani kama uhakiki utaishaYani kila siku ni kuhakikiki,,kuhakikii madeni,,malipo hamna!!Ivi kuhakiki gani kusikoisha?aah tushawazoea!!Ccm ndio zenu kenge nyie!
Bado wana iman na sirikali yao,sema ni vile tu sirikali inapoteza kuaminiwa na watumishi wake
Tunamjengea naniTujenge nchi kwanza