jayec
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 599
- 477
Ni dhahiri hakutakuwa na nyongeza ya mshahara mwezi huu wa NOVEMBA/2017,hii ni kulingana na majibu ya Mh. Wazir Mkuu leo bungeni akijibu swali la Mbunge wa Kilindi lililotaka jibu la serikali kuhusu nyongeza ya mshahara kwa watumishi.Kwa kweli watushi muendelee kufunga mikanda.
Fungua link hii kwa taarifa zaid.Hakikisha unamsikikiza mpaka mwisho
Fungua link hii kwa taarifa zaid.Hakikisha unamsikikiza mpaka mwisho