Swizzy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 773
- 511
Kwa maisha tuliyo fikia sasa siyo ya kuokota/kununua kwa mtu simu aina ya smart phnone.
Ndugu zanguni katika mahangaiko yenu huko njiani/barabarani ukikutana na simu aina ya SMART PHONE imedondoshwa, usithubutu kuokota we ipite tu endelea na safari yako.
Kuna mtu huku mtaani kwangu wiki moja iliyo pita katika harakati zake za mizunguko njiani aliokota simu aina ya SMART PHONE alifurahi sana alihisi bahati imemdondokea kwa siku hiyo. Jamaa alianza kuitumia ile simu, hiyo ni baada ya kuweka details zake zote zikiwemo line na email address yake.
Baada ya siku kadhaa, jamaa alishangaa anafuatwa na watu walio jitambulisha kuwa wao ni askari na yupo chini ya ulinzi anahitajika police. Huko police aliambiwa kuna mama mmoja alivamiwa nyumbani kwake na kuibiwa pesa nyingi sana ikiwemo na simu yake, na simu yenyewe ni hiyo ambayo jamaa alikuwa ameikota.
Huku mtaani baada ya kusikia hivyo tulistuka sana kwani jamaa hanaga matukio yoyote ya uharifu, mpaka saizi tupo tunachangishana ili tuka mtoe sero jamaa.
Lakini saizi nasikia kuna mtindo umevuma wa kudondosha simu (aina ya smart phone) kwa makusudi alafu baadaye huyo aliye dondosha anaenda kuripoti police kuwa amevamiwa na kuporwa simu na fedha nyingi ( anataja kiasi anacho kijua yeye). Mwisho wa siku wewe kama uliokota hiyo simu na police waki itraki hiyo simu wanakuja kukukamata.
USHAURI: Kwa maisha tuliyo fikia sasa sio ya kuokota hizi simu za SMART PHONE, ukiokota/ kununua kwa mtu usiye mfahamu utakuwa unajitakia matatizo mwenyewe ni bora ukaokota NOKIA TOCHI lakini sio SMART PHONE.
....[HASHTAG]#SWIZZY[/HASHTAG]
Ndugu zanguni katika mahangaiko yenu huko njiani/barabarani ukikutana na simu aina ya SMART PHONE imedondoshwa, usithubutu kuokota we ipite tu endelea na safari yako.
Kuna mtu huku mtaani kwangu wiki moja iliyo pita katika harakati zake za mizunguko njiani aliokota simu aina ya SMART PHONE alifurahi sana alihisi bahati imemdondokea kwa siku hiyo. Jamaa alianza kuitumia ile simu, hiyo ni baada ya kuweka details zake zote zikiwemo line na email address yake.
Baada ya siku kadhaa, jamaa alishangaa anafuatwa na watu walio jitambulisha kuwa wao ni askari na yupo chini ya ulinzi anahitajika police. Huko police aliambiwa kuna mama mmoja alivamiwa nyumbani kwake na kuibiwa pesa nyingi sana ikiwemo na simu yake, na simu yenyewe ni hiyo ambayo jamaa alikuwa ameikota.
Huku mtaani baada ya kusikia hivyo tulistuka sana kwani jamaa hanaga matukio yoyote ya uharifu, mpaka saizi tupo tunachangishana ili tuka mtoe sero jamaa.
Lakini saizi nasikia kuna mtindo umevuma wa kudondosha simu (aina ya smart phone) kwa makusudi alafu baadaye huyo aliye dondosha anaenda kuripoti police kuwa amevamiwa na kuporwa simu na fedha nyingi ( anataja kiasi anacho kijua yeye). Mwisho wa siku wewe kama uliokota hiyo simu na police waki itraki hiyo simu wanakuja kukukamata.
USHAURI: Kwa maisha tuliyo fikia sasa sio ya kuokota hizi simu za SMART PHONE, ukiokota/ kununua kwa mtu usiye mfahamu utakuwa unajitakia matatizo mwenyewe ni bora ukaokota NOKIA TOCHI lakini sio SMART PHONE.
....[HASHTAG]#SWIZZY[/HASHTAG]