Kwa maisha ya sasa sio ya kuokota/ kununua kwa mtu simu aina ya smartphone; ni bora ukaokota 'Nokia Tochi'

ishu ni pale unapo badili imei, kumbe imei unayo weka nayo ni ya simu ya wizi na ina jarada lake la mauaji police
Sikuzote mtu wa IT huwa hafanyi mambo kwa kubahatisha na huwezi kujiwekea imei tu ovyo ovyo. Kuna vyanzo vingi vya kupata imei ila huwa ni trusted na ukiweka hakuna mtu atakayegundua au TCR.
 
Kama mtu wa IT cha kwanza
*Huweki sim card mpaka ufanye haya
-Unafanya Factory Reset / kuflash simu
-Unabadilisha IMEI
-Unadisable tracking system km location
-Una root, simu hii itasaidia kujua program zote na kuziondoa apps ambazo unaona huzijui ktk simu au zitakazo kufanya uwe tracked. Kuna apps zingine hata ukifanya factory reset au kuflash hazitoki kwahiyo dawa yake ni kuroot simu. Hapo hata kama ni app ya messaging inatoka tu tena kirahisi.
Ukimaliza yote ndiyo unaweka sim card na kutumia. Hapo miaka 100 unakuwa mtu usiyejulikana.
Hivi ukiwa na akili kama hii bado unaokota au kununua simu ya wizi?! IT expert ni dhahiri umekwenda shule, shule zetu zinatusaidia nini?
 
Hivi ukiwa na akili kama hii bado unaokota au kununua simu ya wizi?! IT expert ni dhahiri umekwenda shule, shule zetu zinatusaidia nini?
Vitu vya wizi vinanunuliwa katika nchi yyte ile iliyoko duniani. kama mtu mwenye akili timamu wala huwezi kuuliza swali hili. Na suala la kuokota simu hutokea mara chache sana tena sana.
Pole sana sijui unaishi dunia ya wapi? Usiponunua ww watanunua wengine ndiyo maana kuna wezi na majambazi. Kuuliza kwako wala haisadii vitu kuibiwa au kununuliwa na wanaoiba au kununua wengine ni wasomi kbisa kwahiyo akili kumkichwa.
 
Kwa maisha tuliyo fikia sasa siyo ya kuokota/kununua kwa mtu simu aina ya smart phnone.

Ndugu zanguni katika mahangaiko yenu huko njiani/barabarani ukikutana na simu aina ya SMART PHONE imedondoshwa, usithubutu kuokota we ipite tu endelea na safari yako.

Kuna mtu huku mtaani kwangu wiki moja iliyo pita katika harakati zake za mizunguko njiani aliokota simu aina ya SMART PHONE alifurahi sana alihisi bahati imemdondokea kwa siku hiyo. Jamaa alianza kuitumia ile simu, hiyo ni baada ya kuweka details zake zote zikiwemo line na email address yake.


Baada ya siku kadhaa, jamaa alishangaa anafuatwa na watu walio jitambulisha kuwa wao ni askari na yupo chini ya ulinzi anahitajika police. Huko police aliambiwa kuna mama mmoja alivamiwa nyumbani kwake na kuibiwa pesa nyingi sana ikiwemo na simu yake, na simu yenyewe ni hiyo ambayo jamaa alikuwa ameikota.

Huku mtaani baada ya kusikia hivyo tulistuka sana kwani jamaa hanaga matukio yoyote ya uharifu, mpaka saizi tupo tunachangishana ili tuka mtoe sero jamaa.

Lakini saizi nasikia kuna mtindo umevuma wa kudondosha simu (aina ya smart phone) kwa makusudi alafu baadaye huyo aliye dondosha anaenda kuripoti police kuwa amevamiwa na kuporwa simu na fedha nyingi ( anataja kiasi anacho kijua yeye). Mwisho wa siku wewe kama uliokota hiyo simu na police waki itraki hiyo simu wanakuja kukukamata.


USHAURI: Kwa maisha tuliyo fikia sasa sio ya kuokota hizi simu za SMART PHONE, ukiokota/ kununua kwa mtu usiye mfahamu utakuwa unajitakia matatizo mwenyewe ni bora ukaokota NOKIA TOCHI lakini sio SMART PHONE.


....[HASHTAG]#SWIZZY[/HASHTAG]
Kwani kawaida kwa nini uokote uifanye yako? Unatakiwa ukiokota chochote upeleke Polisi wamtafute mwenyewe.
 
Unamaanisha wao ni wajinga hawatajua.
Anyway just play your card.
Mimi sio expart wa technology sana.
Imei mbona zinabadilishwa sana tu na hakuna mtu anayekamatwa. Mfano halisi kuna simu hizi za kichina baadhi zinatumia imei za simu zingine lkn zinafanya kazi mpaka leo na hakuna mtu aliyekamatwa mpaka sasa.
 
Kwani kawaida kwa nini uokote uifanye yako? Unatakiwa ukiokota chochote upeleke Polisi wamtafute mwenyewe.
Kwa dunia ya sasa ni ngumu mkuu hata kama aokote shekh au mchungaji. Basi watu wangekuwa wanapata vitu vyao vilivyoibiwa au kudondoshwa. Ww mwenyewe ukiokota Iphone au samsung Galaxy lazima ukae kimya na sidhani kama utaipeleka polisi na ukiipeleka polisi wanajimilikisha labda ukatangaze kwenye vituo vya television au radio. Wale machinga wanaovamiwa barabarani na kunyanganywa vitu vyao huwa vinaenda wapi? Utakuta mgambo na polisi wanabeba mpaka masufuria ya wali, samaki n.k unafikiri huwa wanavitunza?
 
Vitu vya wizi vinanunuliwa katika nchi yyte ile iliyoko duniani. kama mtu mwenye akili timamu wala huwezi kuuliza swali hili. Na suala la kuokota simu hutokea mara chache sana tena sana.
Pole sana sijui unaishi dunia ya wapi? Usiponunua ww watanunua wengine ndiyo maana kuna wezi na majambazi. Kuuliza kwako wala haisadii vitu kuibiwa au kununuliwa na wanaoiba au kununua wengine ni wasomi kbisa kwahiyo akili kumkichwa.
Hamna hata sehemu moja niliposema vitu vya wizi haviuzwi au kutumiwa sehemu yoyote duniani. Nimeshangaa tu mtu kama wewe IT expert kununua vitu vya wizi. Mimi binafsi sinunui kitu cha wizi.
 
Sikuzote mtu wa IT huwa hafanyi mambo kwa kubahatisha na huwezi kujiwekea imei tu ovyo ovyo. Kuna vyanzo vingi vya kupata imei ila huwa ni trusted na ukiweka hakuna mtu atakayegundua au TCR.
nikiokota simu nitakuletea mkuu
 
hahahahahahaaaaaaaa dondosha nikutane nayo uone hio imei kitu naifanya pamoja na location alafu uone kama utanipata ata ukinitafuta mpk google
 
hahahahahahaaaaaaaa dondosha nikutane nayo uone hio imei kitu naifanya pamoja na location alafu uone kama utanipata ata ukinitafuta mpk google
kumbuka utakuwa unapambana na ma IT wenzako so lazima mzidiane akili tu
 
Kama mtu wa IT cha kwanza
*Huweki sim card mpaka ufanye haya
-Unafanya Factory Reset / kuflash simu
-Unabadilisha IMEI
-Unadisable tracking system km location
-Una root, simu hii itasaidia kujua program zote na kuziondoa apps ambazo unaona huzijui ktk simu au zitakazo kufanya uwe tracked. Kuna apps zingine hata ukifanya factory reset au kuflash hazitoki kwahiyo dawa yake ni kuroot simu. Hapo hata kama ni app ya messaging inatoka tu tena kirahisi.
Ukimaliza yote ndiyo unaweka sim card na kutumia. Hapo miaka 100 unakuwa mtu usiyejulikana.
Kwa as wasomi wa IT hakuna kutrakiwa. Hahahaha
 
Kilichonipataga leo hii hata waya wa usb sinunui kwa mtu, hv vitu vipo jamani mimi vilinikuta nilirud nyuma sana kimaendeleo,
 
mkuu IMEI ya simu inabadilika kweli? Basi kipindi kile simu feki zinafungiwa watu si wangebadili IMEI?
uki upgrade android version IMEI inabadilika, uki root simu kuna option ya kubadilisha peupe kabisaa mi nimebadilisha ya kwangu kama mara tano hivi
 
Back
Top Bottom