Akikujibu ni tag na mimi tafadhali...Chanika ipi hiyo?
Hapo ni darHapana mkuu Chanika Nzasa,Zogoali na Zingiziwa
Huko sio chanika mkuuViwanja vipo Chanika Zogoali,Zingiziwa na Nzasa
Hiyo saizi utajenga nyumba ya chumba kimoja ? Ongeza eneo 20*40 reasonableViwanja bei chee vinauzwa Chanika vipimo mita 15 kwa mita 16 Viwanja vina barabara za mitaa bei Milioni moja na laki tano unaweza ukalipa kwa instalments kwa mawasiliano nicheck 0718239997
na ww ongezea pesa upate hyo metre 20*40Hiyo saizi utajenga nyumba ya chumba kimoja ? Ongeza eneo 20*40 reasonable
You nailed it Boss!Du 15*16 kwa 1.5M. Wakati Mkoani heka /shamba 250k. Ungese gani huu. Bakini na dar yenu. Ndo unakuta watu wamejenga hata hawana pa kupumulia full uswazi.