alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,669
- 12,094
Dah....Dah! Apumzike kwa Amani umeniumiza sana ukizingatia ni juzi tu nmetoka kuzika mdogo wangu ambae alikua kaanza kazi hata mwezi mmoja haja maliza
Dah....Dah! Apumzike kwa Amani umeniumiza sana ukizingatia ni juzi tu nmetoka kuzika mdogo wangu ambae alikua kaanza kazi hata mwezi mmoja haja maliza
Dah. . Aiseee..Huwezi amini jamaa amefariki kijana mdogo. Wakati njia ya mafanikio inafunguka ndio mambo yanaishia hapo. Roho inaniuma sana ila ndio ivyo kazi yake mola haina makosa.
Huyu bwana ujanja na ujuaji umemponza alikuwa na tabia ya kuomba watu wawasiliane kwa whatsapp kwenye kufanya kazi na kuomba advance kisha anapotea au mkishindana huko whatsapp analeta jf kutafuta huruma za wadau kwa kukuchafua,kila mtu atavuna alichopanda na wote tuko njia moja!!Dah. . Aiseee..