Kwa maelezo haya, kigogo wa Serikalini anayeikandamiza Yanga ikose ubingwa ni nani?

👇

9ABCDBC8-EC17-4A88-A09B-DA5F891D425D.jpeg
 
Mtangazaji wa Wasafi FM, Ricardo Momo amenukuliwa katika session yake redio akidai kuwa wale wazee wa klabu waliozungumza na waandishi wa habari na kusema kuwa watashitaki kwa Rais Samia Suluhu kuhusu klabu yao kuonewa, wamefanya hivyo kwa kuwa kuna kiongozi wa Serikali ambaye yuko nyuma ya pazia.

Momo hajataja jina la klabu lakini wote tunajua kuwa anamaanisha Yanga, kwani hao ndiyo ambao walifanya ‘press’ mara mbili, kwanza na Haji Manara na Hassan Bumbuli pamoja na ile ya wazee wa Yanga, anadai kuwa kuna kiongozi mwenye nguvu Serikalini ndiyo anawakandamiza Yanga.

Momo amerukaruka katika maelezo yake pasipo kutaja majina, na inavyoonekana kuna huyo kigogo wa Serikalini ni shabiki au mdau wa upande wa pili (inawezekana anamaanisha Simba), ndiyo maana Yanga wameanza kuwa na wasiwasi kuwa wanaweza kukandamizwa katika mbio zao ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Azam Federation msimu huu.

Unadhani Momo yuko sahihi na kwa nini Yanga wanakuwa na wasiwasi wakati wanaongoza ligi tena kwa pointi nane na cha mwisho unadhani huyo kiongozi anayemzungumzia Momo ni nani?

Tujadiliane ndugu zangu!

View attachment 2114917
Huyo ni zuzu tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mbona anafahamika Kitambo, na Jakaya Mlisho Kikwete ameshawahi kumchana live.
Sema hata mimi namshangaa anavyojijengea chuki kwa Washabiki wa Yanga wakati anajua kabisa yeye ni Mwanasiasa na hili jambo linaweza kumghalimu
 
Mtangazaji wa Wasafi FM, Ricardo Momo amenukuliwa katika session yake redio akidai kuwa wale wazee wa klabu waliozungumza na waandishi wa habari na kusema kuwa watashitaki kwa Rais Samia Suluhu kuhusu klabu yao kuonewa, wamefanya hivyo kwa kuwa kuna kiongozi wa Serikali ambaye yuko nyuma ya pazia.

Momo hajataja jina la klabu lakini wote tunajua kuwa anamaanisha Yanga, kwani hao ndiyo ambao walifanya ‘press’ mara mbili, kwanza na Haji Manara na Hassan Bumbuli pamoja na ile ya wazee wa Yanga, anadai kuwa kuna kiongozi mwenye nguvu Serikalini ndiyo anawakandamiza Yanga.

Momo amerukaruka katika maelezo yake pasipo kutaja majina, na inavyoonekana kuna huyo kigogo wa Serikalini ni shabiki au mdau wa upande wa pili (inawezekana anamaanisha Simba), ndiyo maana Yanga wameanza kuwa na wasiwasi kuwa wanaweza kukandamizwa katika mbio zao ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Azam Federation msimu huu.

Unadhani Momo yuko sahihi na kwa nini Yanga wanakuwa na wasiwasi wakati wanaongoza ligi tena kwa pointi nane na cha mwisho unadhani huyo kiongozi anayemzungumzia Momo ni nani?

Tujadiliane ndugu zangu!

View attachment 2114917
Jana nilikuja na Uzi hapa JamiiForums na Kumtaja kuwa ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na nikawakumbusha pia wana Yanga SC kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipokuwa Madarakani walifaidika nae mno na alibariki Simba SC Kunyanyasika kupitia kwa Mwanae Ridhiwani, aliyekuwa Rais wa TFF wakati huo Jamal Malinzi na Mawaziri hasa Mudhihir Mudhihir.

Tunajua kuwa Rais Mstaafu Kikwete ( mwana Yanga SC lia lia ) hampendi Waziri Mkuu Majaliwa kwakuwa ni Team Magufuli na pia ni mwana Simba SC Kindakindaki.

Anachokifanya sasa Mstaafu Kikwete ni kutumia influence yake Kubwa kwa Rais Samia ili Watu wa Yanga SC na hasa Kampuni ya GSM ambayo wenye Akili tunajua ni yake kwa 85% Wamchafue Waziri Mkuu Majaliwa na wamsakizie kwa Mama ( Rais ) kisha ambadilishe na ateuliwe Mtu wa Kulinda Maslahi yake, awe mwana Yanga SC hasa na aweze pia Kuibeba.

Kila Ia Kheri Ndugu.
 
Mbona anafahamika Kitambo, na Jakaya Mlisho Kikwete ameshawahi kumchana live.
Sema hata mimi namshangaa anavyojijengea chuki kwa Washabiki wa Yanga wakati anajua kabisa yeye ni Mwanasiasa na hili jambo linaweza kumghalimu
Empty set huyo.
Kulikuwa na watu tele huko nyuma waliokuwa wakishikilia wadhifa kama wake na hawakufanya ujinga huo.
 
Mtangazaji wa Wasafi FM, Ricardo Momo amenukuliwa katika session yake redio akidai kuwa wale wazee wa klabu waliozungumza na waandishi wa habari na kusema kuwa watashitaki kwa Rais Samia Suluhu kuhusu klabu yao kuonewa, wamefanya hivyo kwa kuwa kuna kiongozi wa Serikali ambaye yuko nyuma ya pazia.

Momo hajataja jina la klabu lakini wote tunajua kuwa anamaanisha Yanga, kwani hao ndiyo ambao walifanya ‘press’ mara mbili, kwanza na Haji Manara na Hassan Bumbuli pamoja na ile ya wazee wa Yanga, anadai kuwa kuna kiongozi mwenye nguvu Serikalini ndiyo anawakandamiza Yanga.

Momo amerukaruka katika maelezo yake pasipo kutaja majina, na inavyoonekana kuna huyo kigogo wa Serikalini ni shabiki au mdau wa upande wa pili (inawezekana anamaanisha Simba), ndiyo maana Yanga wameanza kuwa na wasiwasi kuwa wanaweza kukandamizwa katika mbio zao ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Azam Federation msimu huu.

Unadhani Momo yuko sahihi na kwa nini Yanga wanakuwa na wasiwasi wakati wanaongoza ligi tena kwa pointi nane na cha mwisho unadhani huyo kiongozi anayemzungumzia Momo ni nani?

Tujadiliane ndugu zangu!

View attachment 2114917
Huyu bwege anajifanya anajua kila kitu lakini siku si nyingi yatamkuta ya kumkuta
 
Back
Top Bottom