UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
ni yule uliyemwaisha anko jjjjjjjjjjjjjjjjjjjHahahahahah
ni yule uliyemwaisha anko jjjjjjjjjjjjjjjjjjjHahahahahah
Unahitaj hao warembo wangap?nahitaji mabinti warembo na wenye maadili tuchat, mabinti between 20-35 wani pm tuchat ndoa inawezekana.
ur welcome.
Unahitaj hao warembo wangap?
Hvi hili jukwaa haliwez futwa?,mi nashaur lifutwe limekosa watumiaji
Hvi hili jukwaa haliwez futwa?,mi nashaur lifutwe limekosa watumiaji
Happy nwe year too..........................Sasa hpo kwenye ndoa ndo amenichanganya inamaana akipata wote hao ataweza kuwaoa?Happy new year rafiki ... nadhani anataka wote humu jf kwenye huo umri married divorced single wote anataka kuchati nao ndoa
Unaitaji warembo wewe una mvuto?
nahitaji mabinti warembo na wenye maadili tuchat, mabinti between 20-35 wani pm tuchat ndoa inawezekana.
ur welcome.
Happy nwe year too..........................Sasa hpo kwenye ndoa ndo amenichanganya inamaana akipata wote hao ataweza kuwaoa?
Sasa kwani nani anayajua mapenz? wote wageni hakuna hata mjuaji mapenzi anayjua mungu tu aliyeyaleta wengine wote tunajifunzahappana atawafanya mapenzi kwa kigezo cha kuoa huku akiwa na madai ya kuwa hawajui mapenzi mmmh
Hahahaaa, yaani huwa unaniacha hoi sana, hamjuani hamjawahi kuonana, mnachat kwenye keyboard then mnapendana, then mnapanga ndoa. Siku si nyingi tutaanza kudownload chakula Internet, kasi ya teknolojia imekuwa faster than light.Mnachatije ndoa?