Kwa maandamano haya dikteta Putin anaondoka, Pia huko Hongkong hakukaliki, wanasema ni USA anashnikiza

Ni kweli kwa vile hatuna shida, maana kama ugali nautafuta mwenyewe, ya nini nihangaike na Magu, mnaotaka nafasi ya Magu ndo nendeni barabarani. Maana uwepo wake au asipokuwepo mimi hanilishi wala hanivishi.
Kwa vile hanikatazi kufanya biashara, wala kulima wala chochote cha kunioa ridhiki.
Pambananeni na hali zenu, haina msaada. Ale au asile atajijua.
sijui lini watanzania watakuwa na uthubutu wa namna hiyo...
 
Hata Assad walisema hivyo hivyo lakini bado yupo. Kama jeshi likigawanyika ndio Kuna shida nje ya hapo waandanamaji watakaa barabarani Kisha wataondoka tu.

Mfano mwingine Ni Venezuela Maduro bado yupo maisha yanaendelea.

Attempted coup uturuki ambayo ilipangwa na hao hao mabeberu Edogarn bado yupo
 
Back
Top Bottom