Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Yaliotokea leo Mwanza ni aibu sana
Kama mtabeba hizi timu kwa upumbavu wa penati TFF mna kazi sana hayo mashindano makubwa mtayasikia bombani
Fundishen haobwapuuzi marefa wanahongwa wanatia aibu
Mmeneja wa KMC amewaaibisha vilivyo na mnamjua yaliondelea Mwanza
Shame
Kama mtabeba hizi timu kwa upumbavu wa penati TFF mna kazi sana hayo mashindano makubwa mtayasikia bombani
Fundishen haobwapuuzi marefa wanahongwa wanatia aibu
Mmeneja wa KMC amewaaibisha vilivyo na mnamjua yaliondelea Mwanza
Shame