Mbeleko fc, mbumbumbu fc, mikia fc, hamsa hamsa fc, underdog fc! Mmewasababishia hao marefa wakose hata nafasi za kuchezesha mechi za kimataifa kwa sababu ya kuwabeba huku wakiihujumu timu ya wananchi.
Yaani unamuonea huruma tajiri, unaacha kumuonea huruma Zahera, anachangisha hela lakini wachezaji wanagomea mazoezi!?Namwonea Huruma mwekezaji wa Simba, Anunue wachezaji, awalipe mishahara, Alete kocha na bench zima la ufundi alilipe mshahara na bonas mwisho atafute pesa ya kuhonga waamuzi. Kwahakika uyu ni mwekezaji wapekee duniani.
Nakupa tahadhari ndugu MO Unacho kifamya ni utakatishaji fedha ni uhujumu uchumi na nikosa ambalo halina dhamana. Takukuru tunaomba wafuatilie kwa umakini kinachofanyika katika mpira wa Tanzania kuanzia lig za chini mbaka ligi kuu.Haiwezekani Marefa wawe wanafanya makosa ya kipuuzi kiasi iki. Kuna rushwa inayo tafuna Mpira wetu.
Hakuna sasa ambaye anaweza kwenda kwenye mashindano ya CAF akafanya vizuri kama mnyama huna namna wewe TASAF FC
[/QUOTE
mi nafikiri badala ya kumwonea huruma mwekezaji wa simba waonee huruma wachezaji wako wa yanga wanaogoma hawajalipwa mishahara miezi mitatu na familia zao zinateseka
mi nafikiri badala ya kumwonea huruma mwekezaji wa simba waonee huruma wachezaji wako wa yanga wanaogoma hawajalipwa mishahara miezi mitatu na familia zao zinateseka
Mnyama Simba season yake ya klabu bingwa Africa ilipoishia msimu uliopita tunataka tuendeleze msimu ujao kwaio kuweni wapole tuu
Mnyama Simba season yake ya klabu bingwa Africa ilipoishia msimu uliopita tunataka tuendeleze msimu ujao kwaio kuweni wapole tuu
Hakuna sasa ambaye anaweza kwenda kwenye mashindano ya CAF akafanya vizuri kama mnyama huna namna wewe TASAF FC
Angalau waamuzi wao tunawaona kimataifa. Hawa wa kwetu uvundo mtupu. Asante Azam tv,hata kama ya kulipiaSasa wewe ulidhani Tanzania inaenda kubeba Afcon kule Misri? Au unadhani ligi za senegal,Nigeria na Ghana ni bora sana kwakuwa nchi zao zinafanya vizuri kimataifa?
Akikujibu unitag tafadhali..halafu kama vipi endelea kupata kinywaji nitalipia.Hebu nkumbushe mwaka gan marefa wa bongo wameenda kchezesha afcon
Mpotezeen huyo omba omba fc anaumia sana et anajidài kumuone huruma mo. Wewe yule hana ela ya mawazo. Jionee huruma ww unaenda kula nini leo achana na wenye ela zao. Hata akihonga kama unavojifariji unazan atapungukiwa? Acha uzwazwa dunia haiko hivo. Unataka nani awe bingwa sasa? Kama ombaomba fc mlipewa miaka minne hamjaweza fanya lolote wacheni wengine nao wapewe. Unaumiaaaaa na ela za watu utadhani unazitoa wewe. Sema hata kimoyo moyo This is simba.
Yani wewe na Zahera ni nduguNamwonea Huruma mwekezaji wa Simba, Anunue wachezaji, awalipe mishahara, Alete kocha na bench zima la ufundi alilipe mshahara na bonas mwisho atafute pesa ya kuhonga waamuzi. Kwahakika uyu ni mwekezaji wapekee duniani.
Nakupa tahadhari ndugu MO Unacho kifamya ni utakatishaji fedha ni uhujumu uchumi na nikosa ambalo halina dhamana. Takukuru tunaomba wafuatilie kwa umakini kinachofanyika katika mpira wa Tanzania kuanzia lig za chini mbaka ligi kuu.Haiwezekani Marefa wawe wanafanya makosa ya kipuuzi kiasi iki. Kuna rushwa inayo tafuna Mpira wetu.
Wewe na huyo meneja leteni hizo video tuone ka hawakunawa ule mpira.YALIOTOKEA LEO MWANZA N AIBU SANA SANAA
KAMA.MTABEBA HIZI TIMU KWA UPUMBAVU WA PENALTY TFF MNA KAZI SANA HAYO MASHINDANO MAKUBWA MTAYASIKIA BOMBANI
FUNDISHEN HAOWAPUUZI MAREFA WANAHONGWA WANATIA AIBU
MMENEJA WA KMC AMEWAAIBISHA VILIVYOO NA MNAMJUA YALIONDELEA MWANZA SHAME
Ahsante sana msemaji wa familia ya MOUle Utajiri unao uona Sio wa uyu kijana aliye ingia kuwekeza Simba, Ule ni Utajiri wa familia Kijana amekabidhiwa jukumu na familia aongoze aya makampuni ya Mohammed Interprises lakini si wanafamilia wote wanafurahia uwekezaji wa aina hii pale Simba, uwekepesa uanze kuhongahonga mwishoe kijana wao ataingia kwenye matatizo ya utakatishaji fedha kwakua akuna mwekezaji mwenye akili timamu afanye biashara kichaa kama anayo fanya MO.
Takukuru wata mshtukia muda si mrefu.Familia inaweza kuamua kumpunzisha asiendeshe biashara kwakua mwishoe atailetea familia nzima matatizo.
Kaangalie clips za replay utaona dhahiri shahiri jamaa walivyoshika ndani ya box na kutoa penati.kama Simba wanabebwa basi wanabebwa na mbeleko ya GazetiNamwonea Huruma mwekezaji wa Simba, Anunue wachezaji, awalipe mishahara, Alete kocha na bench zima la ufundi alilipe mshahara na bonas mwisho atafute pesa ya kuhonga waamuzi. Kwahakika uyu ni mwekezaji wapekee duniani.
Nakupa tahadhari ndugu MO Unacho kifamya ni utakatishaji fedha ni uhujumu uchumi na nikosa ambalo halina dhamana. Takukuru tunaomba wafuatilie kwa umakini kinachofanyika katika mpira wa Tanzania kuanzia lig za chini mbaka ligi kuu.Haiwezekani Marefa wawe wanafanya makosa ya kipuuzi kiasi iki. Kuna rushwa inayo tafuna Mpira wetu.
Robo fainali Afrika ni timu mbovu?Na majamaa wala hayaoni aibu kubebwa namna ile! Leo sijui marefa wamevuta ngapi mana si kwa mbeleko ile! Ligi kama hii haiwezi kutoa timu bora ya Taifa! Tunaenda kutalii tu kule Misri
Paka mkubwa kabebwa. Mara ya kwanza ligi kuu 2018/2019 penalties 2 kwenye mechi moja. Wakienda nje wanakula mkono tu.
najaribu kukuelewa lakini sipati wazo lako halisi, unataka kuniambia haikuwa penalt au? nimerudia kuangalia clip u tube na inaonyesha kabisa ni penalt, sasa ulitaka mwamuzi aamue nini? Kama ni haki mtu apewe. ila cha msingi asionewe mtuYALIOTOKEA LEO MWANZA N AIBU SANA SANAA
KAMA.MTABEBA HIZI TIMU KWA UPUMBAVU WA PENALTY TFF MNA KAZI SANA HAYO MASHINDANO MAKUBWA MTAYASIKIA BOMBANI
FUNDISHEN HAOWAPUUZI MAREFA WANAHONGWA WANATIA AIBU
MMENEJA WA KMC AMEWAAIBISHA VILIVYOO NA MNAMJUA YALIONDELEA MWANZA SHAME
Tifu tifu ndio wana-engineer huu upuuzi.YALIOTOKEA LEO MWANZA N AIBU SANA SANAA
KAMA.MTABEBA HIZI TIMU KWA UPUMBAVU WA PENALTY TFF MNA KAZI SANA HAYO MASHINDANO MAKUBWA MTAYASIKIA BOMBANI
FUNDISHEN HAOWAPUUZI MAREFA WANAHONGWA WANATIA AIBU
MMENEJA WA KMC AMEWAAIBISHA VILIVYOO NA MNAMJUA YALIONDELEA MWANZA SHAME
Usiishie tu kusema kwamba ni penati bali tuambie penati kivipi? Tutafsirie sheria iliyotumika kuamua iwe penatinajaribu kukuelewa lakini sipati wazo lako halisi, unataka kuniambia haikuwa penalt au? nimerudia kuangalia clip u tube na inaonyesha kabisa ni penalt, sasa ulitaka mwamuzi aamue nini? Kama ni haki mtu apewe. ila cha msingi asionewe mtu
Hebu nkumbushe mwaka gan marefa wa bongo wameenda kchezesha afcon