Kaangalie mechi ya kwanza ya coast na Simba, Erasto Nyoni Ali ushika Mpira Mara mbili tofauti akiwa katika harakati za kuokoa ndani ya 18 kwenye goli lake lakin marazote mbili mwamuzi hakutafsiri kua ni penati.kwa mechi ya Jana ile haikua penati kwakua Mpira uliufuata mkono tena ulikua auelekei golini, isitoshe haukua ukiwanyima Simba nafasi ya kufunga na haukupigwa na mchezaji wa Simba. Nikama Refa alikua akisubiri tukio la utata ili awafaidishe Simba kwa namna yoyote ile.najaribu kukuelewa lakini sipati wazo lako halisi, unataka kuniambia haikuwa penalt au? nimerudia kuangalia clip u tube na inaonyesha kabisa ni penalt, sasa ulitaka mwamuzi aamue nini? Kama ni haki mtu apewe. ila cha msingi asionewe mtu
Kumbuka magoli ya Tambwe na red card za hovyo enzi za Malinzi ndio ulete chupi yako tena.Na majamaa wala hayaoni aibu kubebwa namna ile! Leo sijui marefa wamevuta ngapi mana si kwa mbeleko ile! Ligi kama hii haiwezi kutoa timu bora ya Taifa! Tunaenda kutalii tu kule Misri
AHANSATEN TFFYALIOTOKEA LEO MWANZA N AIBU SANA SANAA
KAMA.MTABEBA HIZI TIMU KWA UPUMBAVU WA PENALTY TFF MNA KAZI SANA HAYO MASHINDANO MAKUBWA MTAYASIKIA BOMBANI
FUNDISHEN HAOWAPUUZI MAREFA WANAHONGWA WANATIA AIBU
MMENEJA WA KMC AMEWAAIBISHA VILIVYOO NA MNAMJUA YALIONDELEA MWANZA SHAME
Akili za wanaYanga, wanajua ktk mechi mqx penati za kupewa ni moja hata ucheze faulo nyingi ndani ya 18.YALIOTOKEA LEO MWANZA N AIBU SANA SANAA
KAMA.MTABEBA HIZI TIMU KWA UPUMBAVU WA PENALTY TFF MNA KAZI SANA HAYO MASHINDANO MAKUBWA MTAYASIKIA BOMBANI
FUNDISHEN HAOWAPUUZI MAREFA WANAHONGWA WANATIA AIBU
MMENEJA WA KMC AMEWAAIBISHA VILIVYOO NA MNAMJUA YALIONDELEA MWANZA SHAME
Umepaniki? Relax mkuu! matusi hayapendezi, toa hoja utaeleweka! Kwa hiyo ni kweli mnabebwa ili kulipa kisasi kwa uongozi wa Tff uliopita! Kambuzi kafukuzwa muongezeeni mpungaKumbuka magoli ya Tambwe na red card za hovyo enzi za Malinzi ndio ulete chupi yako tena.
Mliyafurahia sasa yamewageukia mnabaki kulialia tu
Ujinga wa malinzi mlifurahi sana.. Ngoja iwaingieUmepaniki? Relax mkuu! matusi hayapendezi, toa hoja utaeleweka! Kwa hiyo ni kweli mnabebwa ili kulipa kisasi kwa uongozi wa Tff uliopita! Kambuzi kafukuzwa muongezeeni mpunga