chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Habari wanaBodi!
Ikumbukwe ACT wazalendo kwa Tanzania nzima wamebahatika kuwa na Jimbo moja tu nalo ni Kigoma mjini linaloongozwa na Mh Zitto Zuberi Kabwe,.
My take: Huku tunapoelekea sasa SIASA za nchi hii kuna vyama vitakosa ushawishi kama siyo kufa kabisa!
Watanzania kwa pamoja tuunge mkono oparesheni #Umoja Wa Kupinga Udikteta Tanzania, UKUTA.
Ikumbukwe ACT wazalendo kwa Tanzania nzima wamebahatika kuwa na Jimbo moja tu nalo ni Kigoma mjini linaloongozwa na Mh Zitto Zuberi Kabwe,.
My take: Huku tunapoelekea sasa SIASA za nchi hii kuna vyama vitakosa ushawishi kama siyo kufa kabisa!
Watanzania kwa pamoja tuunge mkono oparesheni #Umoja Wa Kupinga Udikteta Tanzania, UKUTA.