Kwa ma moderator wa JF

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
Jamani Moderators, Shikamooni,
Kwa kweli pamoja na suala la katiba kuwa na jukwaa lake lakini bado kuna thread nyigi sana zimeanzishwa hapa na zinafanana sana. Hivi kweli haziwezi kuungwa pamoja?
Hapa sasa pamekuwa na dampo la threads zenye post moja tu na moja inafanana na zingine na zimeachwa kujaza hapa mpaka inakosesha raha ya kusoma.
Unaweza/mnaweza kuziunganisha jamani? Kwa mfano unakuta zile za Pinda ziko tele hapa au za kombani ziko tele au za katiba iudweje ziko kibao kwa nini msiziunge?
Hamjui kwamba kuna watu badala ya kuongeza post kwenye thread wao wanatengeneza thread mpya akidhani hapo ndio anachangia post kwenye thread? Na hii ni kwa kuwa wengi hapa ni wapya na hawajajua vizuri wafanyeje! Tafadhali tusaidie.
 
Jamani Moderators, Shikamooni,
Kwa kweli pamoja na suala la katiba kuwa na jukwaa lake lakini bado kuna thread nyigi sana zimeanzishwa hapa na zinafanana sana. Hivi kweli haziwezi kuungwa pamoja?
Hapa sasa pamekuwa na dampo la threads zenye post moja tu na moja inafanana na zingine na zimeachwa kujaza hapa mpaka inakosesha raha ya kusoma.
Unaweza/mnaweza kuziunganisha jamani? Kwa mfano unakuta zile za Pinda ziko tele hapa au za kombani ziko tele au za katiba iudweje ziko kibao kwa nini msiziunge?
Hamjui kwamba kuna watu badala ya kuongeza post kwenye thread wao wanatengeneza thread mpya akidhani hapo ndio anachangia post kwenye thread? Na hii ni kwa kuwa wengi hapa ni wapya na hawajajua vizuri wafanyeje! Tafadhali tusaidie.

Afu waambie wasie wanafuta Thread bila kumtaarifu mwenye Thread na Ku Ban watu hovyo hovyo bila kuwapa nafasi ya kujitetea
 
Suala si kuziunga pamoja tu.
Kwanza MOD'S nawapa Big up kwa kuweka hii topic.(Katiba)

Lakini hii bado haija kidhi matarajio .
Kusema kweli tufike mahali tuwe na malengo endelefu na yanayojenga.Kwa sasa ninachokiona tunajadili kauli za watu kuhusu hoja ya katiba.Hoja ya Katiba mpya huko tuendako ni lazima ,lakini ili kuipa nguvu lazima tujadili Katiba iliyopo na kuichambua kipengele kwa kipengele kuonyesha kwa wengi mapungufu yaliyomo.

Pili tunafaa wakati tunajadili mapungufu ya Katiba iliyopo tuwe kwenye harakati au Mchakato wa Rasimu ya Katiba Mpya.

Tatu hoja zote zinginezo zinazohusu katiba hasa kauli za viongozi au mtu yeyote kuhusiana na katiba yafaa iwekwe kwenye Mengineyo Kuhusu katiba ilikutokuchanganya majadala.

Baada ya mtazamo huu hapo juu napendekeza Topic ya Katiba hapa JF iwe kwenye sub Topic zifuatavyo.

1.KATIBA NA MAPUNGUFU YAKE- hapa tutahitaaji copy ya updated ya Katiba ya JMT.
2.RASIMU YA KATIBA MPYA
3.MENGINEYO KUHUSU KATIBA.
 
Back
Top Bottom