Kwa ma Bro wenye mabinti (watoto wao wa kike)... Tulonge!

jouneGwalu

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
2,687
1,780
Mara kadhaa nimekuwa natafakari jinsi ya kuliweka hili....

Ila hapa Nas amenisaidia sana kulieza..

Changamoto katika kulea na kumjenga binti yako ukiwa kama mzazi pekee na Baba!

Hii ni kwa Brothers jamani....

Kula hii video na lyrics za hii track then tuzoze!




[Intro]
Check it out... I call it
Yeah
Yeah
Yeah-Yea

Shit for niggas with daughters, I call this
Shit for niggas with daughters, I call this
Shit for niggas with daughters, I call this
Shit for niggas with daughters


[Verse 1]
I saw my daughter send a letter to some boy her age
Who locked up, first I regretted it then caught my rage, like
How could I not protect her from this awful phase

Never tried to hide who I was, she was taught and raised like
A princess, but while I'm on stage I can't leave her defenseless

Plus she's seen me switching women, pops was on some pimp shit
She heard stories of her daddy thuggin'

So if her husband is a gangster can't be mad, I'll love him
Never, for her I want better, homie in jail - dead that
Wait till he come home, you can see where his head's at

Niggas got game, they be tryna live
He seen your mama crib, plus I'm sure he know who your father is

Although you real, plus a honest kid
Don't think I'm slow, I know you probably had that chronic lit
You 17, I got a problem with it
She looked at me like I'm not the cleanest father figure but she rocking with it


[Hook]
Shit for niggas with daughters, I call this
Shit for niggas with daughters, I call this
Not sayin' that our sons are less important
Shit for niggas with daughters, I call this
Shit for niggas with daughters, I call this
Not sayin' that our sons are less important


[Verse 2]
This morning I got a call, nearly split my wig
This social network said "Nas go and get ya kid"
She's on Twitter, I know she ain't gon post no pic
Of herself underdressed, no inappropriate shit, right

Her mother cried when she answered
Said she don't know what got inside this child's mind,
she planted
A box of condoms on her dresser
then she Instagrammed it

At this point I realized I ain't the strictest parent
I'm too loose, I'm too cool with her
Shoulda drove on time to school with her

I thought I dropped enough jewels on her
Took her from private school, so she can get a balance
To public school, they too nurture teen talents

They grow fast, one day she's ya little princess
Next day she talking boy business, what is this

They say the coolest playas and foulest heart breakers in the world
God gets us back, he makes us have precious little girls


[Hook]

[Verse 3]
And I ain't tryna mess ya thing up
But I just wanna see you dream up

I finally understand
It ain't easy to raise a girl as a single man
Nah, the way mothers feel for they sons, how fathers feel for they daughters

When he date, he straight, chip off his own papa
When she date, we wait behind the door with the sawed off
Cause we think no one is good enough for our daughters

Love
 
Last edited by a moderator:

Unajua mkuu hii mambo ya Mkuki kwa nguruwe ndio inayotokea kwetu, tumeumbwa kuumba na kujenga hvyo mara zote hatuwaamini watu wengine wanaotaka kuwa karibu na tulivyoviumba.
Na pia ile fact kuwa binti kwa baba ni sawa kabisa na son kwa mama.
Malaika wangu kesho kutwa anatimiza miaka 4, kawa mjanja na maneno yote anaongea!
Nkimuangalia afu huwa najiangalia nlvyokuwa na Mama yake afu huwa najiuliza kama ntamfanya nini huyo kijana!
 
jG ulikuwa mbaya kwa mama yake?

Nwy. . .ushauri wangu ni umtafutie mama mwingine maana itafika sehemu wewe na yeye hamtoelewana lugha, ataona humuelewi na unamuonea. Kuna mambo hutoweza kumfunza ama kumshauri hivyo ni vizuri ukatafuta mtu wa kukusaidia upande wa pili.

Sasa yaweza kuwa rahisi maana she doesn't need much. Mapenzi yako, chakula na malazi vinamtosha, ila atakapokuwa atataka/hitaji zaidi na zaidi ya vitu ambavyo wewe binafsi huwezi kumpa. Jiandae mapema!!!
 
jG ulikuwa mbaya kwa mama yake?

Nwy. . .ushauri wangu ni umtafutie mama mwingine maana itafika sehemu wewe na yeye hamtoelewana lugha, ataona humuelewi na unamuonea. Kuna mambo hutoweza kumfunza ama kumshauri hivyo ni vizuri ukatafuta mtu wa kukusaidia upande wa pili.

Sasa yaweza kuwa rahisi maana she doesn't need much. Mapenzi yako, chakula na malazi vinamtosha, ila atakapokuwa atataka/hitaji zaidi na zaidi ya vitu ambavyo wewe binafsi huwezi kumpa. Jiandae mapema!!!

Hamna, sikumfanyia vibaya wala....

Ulinganishaji wa matukio, kwamba kuletewa mimba na binti yako wakati bado umeandaa mikakati kibao juu yake!

Kuna sikumoja kule kijijini.com (mwanakijiji) kulikuwa na mjadala kuwa je utamkubalia binti aje na boyfriend wake hom? Kwanzia umri gani?
Wakati mwingine nadhani inabidi kuwa Mama zaidi hahahahahaha inachekesha
 
jouneGwalu haya mambo ni magumu sana
Ni kumuomba sana Mwenyezi Mungu atangulie katika kila ufanyalo
Maana hizi tweeter na sijui facebook na visimu vyetu vya mchina ni balaa tupu
 
Hamna, sikumfanyia vibaya wala....

Ulinganishaji wa matukio, kwamba kuletewa mimba na binti yako wakati bado umeandaa mikakati kibao juu yake!

Kuna sikumoja kule kijijini.com (mwanakijiji) kulikuwa na mjadala kuwa je utamkubalia binti aje na boyfriend wake hom? Kwanzia umri gani?
Wakati mwingine nadhani inabidi kuwa Mama zaidi hahahahahaha inachekesha


Ndo hivyo. . .
Mama ambae ana ukaribu nae sana anaweza hata akamwambia nna mpenzi, anataka hivi na vile kwahiyo kama mzazi unakua na pakuanzia kushauri/kufundisha/kuelewesha and so so. Ila kama baba anaweza hata akapata siku zake mara ya kwanza asijue namna ya kukwambia, usimuweke kwenye mazingira magumu hivyo.

Mtafutie namna. Itasaidia hata kwenye maswala ya mapenzi/wapenzi.
 
Ndo hivyo. . .
Mama ambae ana ukaribu nae sana anaweza hata akamwambia nna mpenzi, anataka hivi na vile kwahiyo kama mzazi unakua na pakuanzia kushauri/kufundisha/kuelewesha and so so. Ila kama baba anaweza hata akapata siku zake mara ya kwanza asijue namna ya kukwambia, usimuweke kwenye mazingira magumu hivyo.

Mtafutie namna. Itasaidia hata kwenye maswala ya mapenzi/wapenzi.

mfanye rafiki,,,,
 
mfanye rafiki,,,,

Hata mkiwa marafiki bado baba pekee hawezi cover all the basics. Unless unataka kuniambia hata namna ya kuweka pedi , namna ya kujiswafi na mengine ya aina hiyo atamfundisha yeye akawa comfortable binti nae akaona kweli mzee wangu ni wa kipekee. Wakati wenzie wanahadithia mama zao walivyowafunza yeye aongelee baba, achekwe mpaka akose hamu ya kwenda shule.
 
Hata mkiwa marafiki bado baba pekee hawezi cover all the basics. Unless unataka kuniambia hata namna ya kuweka pedi , namna ya kujiswafi na mengine ya aina hiyo atamfundisha yeye akawa comfortable binti nae akaona kweli mzee wangu ni wa kipekee. Wakati wenzie wanahadithia mama zao walivyowafunza yeye aongelee baba, achekwe mpaka akose hamu ya kwenda shule.

Hii kali.
 
jouneGwalu haya mambo ni magumu sana
Ni kumuomba sana Mwenyezi Mungu atangulie katika kila ufanyalo
Maana hizi tweeter na sijui facebook na visimu vyetu vya mchina ni balaa tupu


yaani hapo ndio balaa kabisa, utaruka koote hapo mwisho!!

Halafu mbaya zaidi hivi vitu vishakuwa kama ni sehemu ya maisha....

Na kuna washkaji hao, akipata namba ya simu tu ya mtoto hatoki lo
 
Ndo hivyo. . .
Mama ambae ana ukaribu nae sana anaweza hata akamwambia nna mpenzi, anataka hivi na vile kwahiyo kama mzazi unakua na pakuanzia kushauri/kufundisha/kuelewesha and so so. Ila kama baba anaweza hata akapata siku zake mara ya kwanza asijue namna ya kukwambia, usimuweke kwenye mazingira magumu hivyo.

Mtafutie namna. Itasaidia hata kwenye maswala ya mapenzi/wapenzi.

Nakubaliana na wewe kwakweli....

Ila suala la Mama wa kambo kwangu halitokuwepo....

Mke nitakaye muoa atamuita "aunt" tu basi itatosha.....

Hawa masista duu tunaokutana nao huku ni waigizaji maarufu ukiingia mkenge tu umemkaanga mwanao!!
 
Wanaitwa generation "c" (C = connected) maana kuna tweeter, facebook, e mails na bado. Yaani kizazi hiki muda wote wako kwenye facebook, wanachofanya akijulikana wanajua wenyewe.
Nina waona watoto wa kiume wa dada yangu muda wote macho kwenye simu na earphones mpaka nliwahi kumwambia mmoja ataua masikio kwani nshawahi sikia wanaofanya kazi call centers wanaharibika masikio baada ya muda sasa na hii miziki kutwa sikioni tutegemee viziwi soon.

yaani hapo ndio balaa kabisa, utaruka koote hapo mwisho!!

Halafu mbaya zaidi hivi vitu vishakuwa kama ni sehemu ya maisha....

Na kuna washkaji hao, akipata namba ya simu tu ya mtoto hatoki lo
 
Nakubaliana na wewe kwakweli....

Ila suala la Mama wa kambo kwangu halitokuwepo....

Mke nitakaye muoa atamuita "aunt" tu basi itatosha.....

Hawa masista duu tunaokutana nao huku ni waigizaji maarufu ukiingia mkenge tu umemkaanga mwanao!!

Aunt itafaa tu iwapo huna mpango wa kuwa na mtoto mwingine na huyo "AUNT". Maana utakachofanya ni kwamba utatengeneza tofauti mapema sana kati ya mtoto wako huyo na huyo mwingine. Yani wote wanakuita baba, ila mama sio mama kwa wote. Fikiria sana hilo, hamna ambae huambiwa amwite mama wa kambo. . .ni kiasi tu cha kutengeneza ukaribu na kuacha mambo yaje naturally maana mtoto mwenyewe ni mdogo.

Alafu kwani mwigizaji akiitwa "aunt" ndio itasaidia?
 
Wanaitwa generation "c" (C = connected) maana kuna tweeter, facebook, e mails na bado. Yaani kizazi hiki muda wote wako kwenye facebook, wanachofanya akijulikana wanajua wenyewe.
Nina waona watoto wa kiume wa dada yangu muda wote macho kwenye simu na earphones mpaka nliwahi kumwambia mmoja ataua masikio kwani nshawahi sikia wanaofanya kazi call centers wanaharibika masikio baada ya muda sasa na hii miziki kutwa sikioni tutegemee viziwi soon.


Jamani nyumba kubwa za masiku??

Yaani hii gen -c ni balaa...

Ninajamaa yangu saiv ye kazi yake ni kuhaingaika na hivi vibinti vya mitandaoni na anavipata balaa....

Kila mkikutana weekend ye stori za ohh kwenye group ile nimekutana na kitoto hichi njoo nikuonyeshe profile yake hapa!!

Yaani basi dah nasema aisee na hizi mishe za maisha unatoka asubuhi kurudi usiku kalala.....
 
Last edited by a moderator:
Nakwambia wazazi wa leo tuna kazi. Hata useme utamfanya mwanao rafiki awe wa kike au wa kiume jua fika itafika kipindi atakwambia daddy you are too oldfashioned. Ataona unamwekea kiwingu. watoto wakianza ku mature hawataki kabisa kufatwa fatwa. Kazi kweli kweli.


Jamani nyumba kubwa za masiku??

Yaani hii gen -c ni balaa...

Ninajamaa yangu saiv ye kazi yake ni kuhaingaika na hivi vibinti vya mitandaoni na anavipata balaa....

Kila mkikutana weekend ye stori za ohh kwenye group ile nimekutana na kitoto hichi njoo nikuonyeshe profile yake hapa!!

Yaani basi dah nasema aisee na hizi mishe za maisha unatoka asubuhi kurudi usiku kalala.....
 
Aunt itafaa tu iwapo huna mpango wa kuwa na mtoto mwingine na huyo "AUNT". Maana utakachofanya ni kwamba utatengeneza tofauti mapema sana kati ya mtoto wako huyo na huyo mwingine. Yani wote wanakuita baba, ila mama sio mama kwa wote. Fikiria sana hilo, hamna ambae huambiwa amwite mama wa kambo. . .ni kiasi tu cha kutengeneza ukaribu na kuacha mambo yaje naturally maana mtoto mwenyewe ni mdogo.

Alafu kwani mwigizaji akiitwa "aunt" ndio itasaidia?

No, nilichomaanisha hapo kwenye bold ni kuwa sina mpango wa kuoa fasta hivyo!!

Yah ila unanipa maneno naona Malkia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom