Leo hajaenda job Yuko off
kuna watu 28 wote wanatumia username moja ya bujibuji
Kaizer acha bwana, mambo ya kuvujishiana ramani za vita sio mambo mazuri. Kila mtu akiwa na ramani yangu ya vita, nitaishije mjini?mi Bujibuji nimemvulia kofie ile thread yake ya kutongoza kijanja ya jana/juzi kule MMU, eti kwa wadada wote wa MMU aliokwish kutana nao.....
Kwani nilizinduka basi???Hizo threads kaziandika baada ya kuzinduka toka relini alikokua amelala...
bujibuji for president 2015 meeeeeeen!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us