kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,144
- 4,818
Jamii forums kuna watu maisha yao ni mazuri hadi raha lakini maisha ya keyboard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AgreedTrust me asilimia kubwa ya furaha inaletwa na pesa
Mungu alichotusaidia nikwamba wote tunakufaKuna wakati maisha yanakuwa ni ufala sana kwani ingawaje wanaoyaishi ni binadamu wenyewe lakini hukosa usawa kabisa...
Kuna mtu muda huu anakufa baada ya kukosa elfu tatu ya dawa ya mseto, Kuna mtu analipa 1mil kutunza mbwa wake
Kuna familia watoto wanalia njaa, kuna familia watoto wanalilia kwenda dubai kutembea
Kuna mtu anatafuta mia tano ale, kuna mtu anakula lunch ya laki na ushee
Kuna mtu anatafuta laki 1 kwa mwezi imfae kwa maisha, kuna mzazi anampa mil3 za matumizi mtoto wake kila mwezi
Kuna kajambanani mmoja hapa anauza jogoo wake alipe ada ya mwanae, kuna mtu yupo bank analipa mil 7 za nusu muhula kwa mwanae wa darasa la pili.
Kuna mtu anatafuta kazi hata ya bure mradi ale, kuna mtu anaacha kazi ya mil5 ili apumzike
WALE KINA KAJAMBANANI WANA HISIA GANI MIOYONI MWAO KUHUSU HAWA WA UPANDE WA PILI?
-WIVU
-HAMASA
-HAWANA HISIA ZOZOTE
NA JE! HAWA W KUNDI LA PILI WASIOIJUA SHIDA MNA HISA GANI NA HILI KUNDI LA KWANZA?
-HURUMA
-DHARAU
-HAMNA HISIA ZOZOTE
View attachment 1121720View attachment 1121813
Binadamu hatoi baraka kwa binadamu mwenziye bali Mwenyezi Mungu pekee.kuna mtu alikuwa anapeleka fungu la kumi kanisani.. kubwa kweli kweli zaidi ya milioni.. huku mimi nasaka kodi.. nikasema kweli ndio maana wenye nacho wanabarikiwa
Mh! Hata kufanya mapenzi utakuwa haujapata tu furaha?Huwa tunajifariji tu, hivi huna pesa hiyo furaha inatoka wapi
Mkuu acha kukaririshwa kama kasuku.Mkuu, ingawa ni kweli kuwa pesa inarahisisha maisha, lakini ujue kuwa pesa zina ukomo zake, na si kila kitu kinaweza kununuliwa:
MONEY ISN'T EVERYTHING
Money can buy you a house but not a home;
Money can buy you a clock but not time;
Money can buy you a bed but not sleep;
Money can buy you food but not appetite;
Money can buy you a book but not knowledge;
Money can buy you medicine but not health;
Money can buy you blood but not life.
Hebu nieleze kwa nini Steve Jobs, pamoja na mabillioni zake, hakuweza kujinunulia afya, halafu niambie nani anakaririshwa kama kasuku????Mkuu acha kukaririshwa kama kasuku.
Vyote ulivyoorodhesha hapo vinategemeana katika maisha na kwa kiasi kikubwa vinaletwa na pesa.
Wakuu tuwe xriac kidogo unaanzaje kupata furaha wakati huna pesa yaani unahc kufa kufa tuuAaaah mzee furaha ni kitu muhimu Sana furaha ni zaidi ya pesa lakini usisahau pesa ni sehemu ya furaha .....!
Kinachotofautiana ni kiasi tuAgreed
Nimekua kwenye kipimo cha hiki kitu nimeona kuna ukweli.
Hapa inategemea na mridhiko wa moyo wako juu ya kile unachohitaji.
Mzee mbona umetolea mfano wa stress za watu kundi la wavuta bhangi na watumiaji wa dawa za kulevya?Hebu nieleze kwa nini Steve Jobs, pamoja na mabillioni zake, hakuweza kujinunulia afya, halafu niambie nani anakaririshwa kama kasuku????
Michael Jackson, Whitney Houston, pamoja na utajiri wao, kwa nini hawakuweza kujinunulia furaha na walifariki kwa sababu ya substance abuse ili kupunguza msongo wa mawazo???
Pacha, unalala njaa, unakula mlo mmoja, mwenye nyumba kila asubuhi anakugongea kukusomea risala utasema umeridhika? Basi wenzetu mna roho nzuriNimesoma comments zote mwanzo hadi mwisho. Kwa maoni ya wengi humu JF wengi wana furaha(wana pesa) na wengine hawana furaha (hawana pesa).
Mimi naamini kwenye kuridhika,ukiridhika na hali yako utakuwa na furaha.
Nimesoma comments zote mwanzo hadi mwisho. Kwa maoni ya wengi humu JF wengi wana furaha(wana pesa) na wengine hawana furaha (hawana pesa).
Mimi naamini kwenye kuridhika,ukiridhika na hali yako utakuwa na furaha.