Kwa kweli wakati mwingine maisha ni ufala sana

Unashindia tembele, watoto wanatembea viatu vinacheka, mwenye nyumba anakugongea kila siku na anatishia kukutolea vyombo nje utatoa wapi furaha? Vitu vingine tunavisema tu lakini ni vya kufikirika
Zaburi 118:24
[24]Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA,
Tutashangilia na kuifurahia.

Unapoamka asbh ukiwa na afya njema,.. Furahi kwakua Mungu amekupa siku hiyo uifurahie.. Ukianza kutengeneza mawazo ya kuona siku ukiyopewa ni mbaya kwakua una madeni, watoto wanakula matembele nk.. Hautakaa uwe na furaha, kwani hata wenye pesa wana madeni makubwa benk, wana maadui wengi, wana mambo kibao...
Furaha ni vile ulivyochagua maisha yako ya we na furaha kwa kile kidogo, unatengeneza mawazo ya kupokea na kuona ipo sababu ya kufurahi... Utafurahia.
 
Zaburi 118:24
[24]Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA,
Tutashangilia na kuifurahia.

Unapoamka asbh ukiwa na afya njema,.. Furahi kwakua Mungu amekupa siku hiyo uifurahie.. Ukianza kutengeneza mawazo ya kuona siku ukiyopewa ni mbaya kwakua una madeni, watoto wanakula matembele nk.. Hautakaa uwe na furaha, kwani hata wenye pesa wana madeni makubwa benk, wana maadui wengi, wana mambo kibao...
Furaha ni vile ulivyochagua maisha yako ya we na furaha kwa kile kidogo, unatengeneza mawazo ya kupokea na kuona ipo sababu ya kufurahi... Utafurahia.
Sawa...
 
Watoto sare zimechakaa, shulen mchango wa chakula, chakula milo miwili mmejitahidi kwa kawada ni mmoja.....

Immposiblle.... Ni kujifariji tu
Unashindia tembele, watoto wanatembea viatu vinacheka, mwenye nyumba anakugongea kila siku na anatishia kukutolea vyombo nje utatoa wapi furaha? Vitu vingine tunavisema tu lakini ni vya kufikirika
 
Mkuu, ingawa ni kweli kuwa pesa inarahisisha maisha, lakini ujue kuwa pesa zina ukomo zake, na si kila kitu kinaweza kununuliwa:
MONEY ISN'T EVERYTHING
Money can buy you a house but not a home;
Money can buy you a clock but not time;
Money can buy you a bed but not sleep;
Money can buy you food but not appetite;
Money can buy you a book but not knowledge;
Money can buy you medicine but not health;
Money can buy you blood but not life.
Ukiwa nazo kwanza, haya yote unayosema yanakuwa kweli
IMG_20190505_084739_906.JPG
 
Nani alikwambia usipokuwa na pesa ndugu watakupenda? Hata mke wa kuoa hutapata yule ambaye roho yako inampenda ila utapata yule ambaye unaweza kumpata kulingana na hali yako. Hata spiritual life hutaenjoy kwa sababu siku zote utakuwa unawazia umaskini tu, mkiingia kwenye maombi wengine wanaomba mambo mazito ya kuwafanya wasonge mbele kwenye safari yao ya kwenda mbinguni we kila siku unaomba Mungu akujalie walau upate lunch kesho ule na watoto kwa hiyo spiritually utakuwa unafeli tu kwa kuwa utakuwa unashughulishwa sana na mahitaji ya kimwili kuliko ya kiroho. Itafika wakati huwezi kwenda kanisani maana kiatu kinacheka na huwezi kwenda peku au kuvaa malapa....nguo uliyonayo ulivaa jumapili ile, hii ya juzi na hauna nyingine ya kubadilisha.
Hili andiko la 'utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mengine mtazidishiwa' ni jepesi kutamka ila kulitendea kazi ni shughuli kwelikweli
We ndiye umeonyesha kwamba kukosa pesa kunaweza kukufanya usiwe na furaha na hata ukamkosea Mungu, ila umenichekesha sana kwa maelezo yako
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom