Kwa kweli nina wakati mgumu sana na ndoa yangu

Ruyama

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
367
561
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje. Huwa na hasira na kuwakawaka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hichohadi heshima sipewi. Hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni, ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba. Kiukweli nina mtihani sio mdogo.

Enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.
 
Changamoto hizo ni za kaeaida sana kwenye ndoa, kaeni, zungumzeni wakati mkiwa hamna hasira. Usiwazie kuacha maana huwezi jua atakayefuata baada ya huyo anaweza akawa hata mwanga na mlozo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimtishe, kama moe haeleweki eleweki achana naye,narudia tena iwe ni mke au mume,Kama haeleweki na hamufurahii kukaa kwenu pamoja ACHANENI!

Matokeo ya kulazimisha watu kuishi pamoja kwa kisingizio kwamba yawezekana atakayempata atakuwa na madhaifu zaidi haifai kabisa,waambie ukweli mwisho wa siku waamue wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa sauti ya kiume to a maamuzi ya kiume wanaume wengi tunaolea kazi, uzuri kama vipaumbele vya kumpata mwanamke tunasahau kuwa tabia zao ndyo tutaishi nazo miaka yote ila nasema tena ukiona mwamba umeshindwa kupasuka ata na baruti aisee amia mwamba mwingine usije kufa na presha, kisukari na strock bure
 
Kwanza pole sana ,mm nakushauli mrudishe kwao kwa maelezo ya kuwa hana adabu alafu akae huko kwa muda ukiona hajirudi usimrudishe ndani ndio umwache mwisho wa cku mpelekee mabeg yake ya nguo ,akiomba msamaha mrudishe au fanya mambo yako kivyako ushawai mchunia mtu,ww ukirud unakula unacheza na watoto unaenda kulala asubui unamsalia unaondoka zako yaani usiwe na story nae ukiwa na hamu unamwomba mzigo unapiga kama kawa
 
Back
Top Bottom