Najivunia kuwa na mpnz anipendae sana, kwa ujumla tunapendana bt da problem mwezangu yupo mbali na mimi, na sielewi ifanyaje ili niweze kuhisi yupo karibu yng ksb mara nyingi nikifikiria nahisi kama kulia vile na kuwa na mawazo juu yake , naomba nieleweke hapa kwamba uwa namkumbuka kwa mazuri na si mabaya. NAOMBENI MNISAIDIE NIFANYAJE ILI NISIWE TO MUCH KUMFIKIRIA YEYE??///:embarrassed: