malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Toka jana hii shillingi yetu inaporomoka ipo sasa shs 2300 kwa dola.
Je tutafika, tutachomoka?
Na jana nchini Kenya nimesikia shirika moja kubwa la fedha likitangaza chumi nyingi za East Afrika zimeporomoja.
Na pia katika nchi zinazokua uchumi kwa kasi Tanzania yetu tuyojisifia sana. Haipo kwenye nchi zenye uchumi bora.
Hivi wenzangu mnajua tumapoelekea?
Je tutafika, tutachomoka?
Na jana nchini Kenya nimesikia shirika moja kubwa la fedha likitangaza chumi nyingi za East Afrika zimeporomoja.
Na pia katika nchi zinazokua uchumi kwa kasi Tanzania yetu tuyojisifia sana. Haipo kwenye nchi zenye uchumi bora.
Hivi wenzangu mnajua tumapoelekea?